Mwanasimba mwenzangu isikupite hii

Kwani huyu kassimu deuji ndio kak ake na moo dweuji
 
Huyu Kassimu uwa kirusi hatari sana kwa tunaomfahamu, nilishangaa sana kurudishwa pale Msimbazi.

Enzi za Migogoro zilikwisha kitambo, kwa nini anaturudisha huko.
Huyu Ndiyo alikuwa na lile group wanajiita makomandoo wa timu wanakaa milangoni ni upigaji tu ulikuwa unaendelea pale.

Kassimu huko tulishatoka klabu iko level zingine,acheni kutoboa meli ambayo mmepanda pia.
 
kasim dewji aka kd,ndie alikua katibu wa friends of simba FoS.ambapo sasa ndo hao baadhi wameunda bodi ya wakurugenzi simba
 
kama mwizi mshawahi kumpeleka mahakamani???kama bado basi hizo tuhuma ni uzushi
 
Kasimu ame kwenda kwenye Media kusema yeye si mwenyekiti tena wa kamati ya usajili, Kwakua baadhi ya Wana Simba wamekua waki muuliza hatma ya usajili watimu.
Kwa mujibu wa Kassim Yeye alivyo teuliwa kwenye nafasi hio kama Mwenyekiti wa kamati ya usajili alimwandikia kocha apewe mahitajio ya wachezaji anao wataka kulingana na mapungufu ya timu.

CEO Barbara akawa kikwazo Kwa yeye na kamati iliyoundwa kufanya lolote, Akatoa ushauri Kwa klabu itafute mtu ambaye ata ajiliwa na klabu awe anafanya scouting ya wachezaji kwakua alihisi kamatiyake CEO Alisha itilia mashaka, Kwa bahati mbaya alijibiwa klabu Haina fedha za kumwajili mtu wa aina iyo.
Alicho amua Kassim ni kujitoa kwakua yeye ndiye Anaye ulizwa Kila wakati juu ya Hali ya usajili na yeye Hana nguvu iyo. Kasimu ameamua kujiweka pembeni.
 
Lakini ni Kama kuna hoja hapa
 
nimesikia mahala wanasema hivi
kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita...... matangazo kwenye jezi za simba yameongezeka.
lakini kwa kipindi hicho chote, bilboards/ matangazo ya tajiri mo huko barabarani na kwengine hakuna kabisa ama kidogo sana
je tajiri analipa yale matangazo lukuki yaliyojaa kwenye jezi zetu jamani? kama analipa ni shiling ngapi na kwa mkataba gani?
 
Njia ya mafanikio utakutana na majizi majambazi wenye chuki vibaraka na mamluki wanasimba tufunge mkanda siku tutakuwa kama al ahly na waydad kunyang'anya mtu kitu alichozoea kupata bure ni kazi sana njia ya mafanikio ina vikwazo vingi sana.
 
Familia ya Dewji yote ni wapigaji tu......hakuna hata mmoja aliepona katika hili
 

Jibu ni rahisi: Peleka haya malalamiko yakiwa na ushahidi mahakamani, hapa siyo mahali pake, unatupigia kelele tu hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…