Mwanasoka Raia wa Uturuki Aykut Demir alikataa kuvaa tisheti maalumu zilizoandikwa "No To War" Sababu?

Mwanasoka Raia wa Uturuki Aykut Demir alikataa kuvaa tisheti maalumu zilizoandikwa "No To War" Sababu?

Abu Ubaidah Commando

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
7,591
Reaction score
6,946
instagram_1646316127290.jpg

Mwanasoka raia wa Uturuki Aykut Demir alikataa kuvaa tisheti maalumu zilizoandikwa "No To War" katika mechi ya Jumapili iliyoikutanisha timu yake ya BB Erzurumspor dhidi ya vinara wa Turkish Second Division timu ya Ancaragucu


Aykut alipohojiwa kuhusiana na tukio hilo, alisema "Maelfu ya watu wanakufa kila siku huko Mashariki ya kati, najisikia vibaya naungananao kwenye maumimivu watu wasiokuwa na hatia, wale ambao wanapuuza mauwaji yao wanafanya vitu hivi linapokuja swala la nchi za ulaya, sikutaka kuvaa hizo tisheti kwa sababu hazikutengenezwa kwa ajili nchi za kule".

Mimi ni Dalmine nasema hivi,
Mwanaume PUTTIN yuko sawa kabisa. Palestina, Syria na Nchi zingine za kiarabu watu wanauliwa kila leo pamoja na watoto wasiyokuwa na hatia lakini limeonekana jambo la kawaida kama vile wanaouliwa kule ni wanyama na siyo binadamu. Lakini imeguswa nchi ya ulaya kila mtu anapiga kelele. Siungi mkono mauwaji yanayotokea ukraine kama NIKWELI WANAUAWA, lakini nguvu zinazotumika sasa kupinga haya mauwaji yangetumika mashariki ya kati nadhani ingelikuwa vizuri zaidi.

Mungu awe pamoja nawe ndugu yetu Aykut.
 
Jamaa wanapenda sana mambo ya dini wasiwasi umewajaa. Kutafuta amani kunaanzia kwao wenye vita wenyewe na dunia inawaunga mkono ila vita vingi vinavyopigwa kwenye nichi za kiarabu ni wao na makundi yao wanachangia amani isiwepo wao hawafundishwi kutafuta amani ila kulipiza kisasi kuuwa kwa kujitoa muhanga, mabomu na ukatili mwingi. Itawachukua miaka mingi kupata marafiki mana kweli hawaaminiki....
 
Jamaa wanapenda sana mambo ya dini wasiwasi umewajaa. Kutafuta amani kunaanzia kwao wenye vita wenyewe na dunia inawaunga mkono ila vita vingi vinavyopigwa kwenye nichi za kiarabu ni wao na makundi yao wanachangia amani isiwepo wao hawafundishwi kutafuta amani ila kulipiza kisasi kuuwa kwa kujitoa muhanga, mabomu na ukatili mwingi. Itawachukua miaka mingi kupata marafiki mana kweli hawaaminiki....
Makundi hayo yanatengenezwa na marekani na kuwasimika watawala wa michongo na kuanza kunyonya mafuta yao kama kupe. Ndio maana ktk nchi nyingi vita huwa haziishi na ukiangalia kwa jicho la tatu utakuta kuna mkono wa marekani.

Hata hiyo vita ha Ukraine chanzo chake ni marekani
 
View attachment 2137541
Mwanasoka raia wa Uturuki Aykut Demir alikataa kuvaa tisheti maalumu zilizoandikwa "No To War" katika mechi ya Jumapili iliyoikutanisha timu yake ya BB Erzurumspor dhidi ya vinara wa Turkish Second Division timu ya Ancaragucu


Aykut alipohojiwa kuhusiana na tukio hilo, alisema "Maelfu ya watu wanakufa kila siku huko Mashariki ya kati, najisikia vibaya naungananao kwenye maumimivu watu wasiokuwa na hatia, wale ambao wanapuuza mauwaji yao wanafanya vitu hivi linapokuja swala la nchi za ulaya, sikutaka kuvaa hizo tisheti kwa sababu hazikutengenezwa kwa ajili nchi za kule".

Mimi ni Dalmine nasema hivi,
Mwanaume PUTTIN yuko sawa kabisa. Palestina, Syria na Nchi zingine za kiarabu watu wanauliwa kila leo pamoja na watoto wasiyokuwa na hatia lakini limeonekana jambo la kawaida kama vile wanaouliwa kule ni wanyama na siyo binadamu. Lakini imeguswa nchi ya ulaya kila mtu anapiga kelele. Siungi mkono mauwaji yanayotokea ukraine kama NIKWELI WANAUAWA, lakini nguvu zinazotumika sasa kupinga haya mauwaji yangetumika mashariki ya kati nadhani ingelikuwa vizuri zaidi.

Mungu awe pamoja nawe ndugu yetu Aykut.
Ukraine hajafa mtu hata mmoja hadi sasa. Wasikudanganye kule aman ipo na urusi inaendelea kuwalisha chakula raia. Huu ni upendo wa kuigwa duniani kote
 
Nyumbu bana, kila nyumbu anacomment very nice, yuko sawa, kweli kabisa, n.k [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Huna uelewa wa mambo ya kisiasa na kiuchumi

Sasa hivi chokochoko zimeanza kusini baada ya kugundulika Gas na Rwanda kishatumwa kwenda kukoleza Moto kwa kisingizo cha kutokomeza Ugaidi…baada ya miaka kadhaa utasema Tatizo ni wamakonde wenyewe…Congo tangu uhuru haijatulia utasema 'Tatizo Wa Congaman hawataki kukaa pamoja kumaliza tofauti zao…'

Pengine sie tunajiona tunasikilizana sana na tunapenda sana amani ni kwa kuwa tumekubali kuibiwa
Jamaa wanapenda sana mambo ya dini wasiwasi umewajaa. Kutafuta amani kunaanzia kwao wenye vita wenyewe na dunia inawaunga mkono ila vita vingi vinavyopigwa kwenye nichi za kiarabu ni wao na makundi yao wanachangia amani isiwepo wao hawafundishwi kutafuta amani ila kulipiza kisasi kuuwa kwa kujitoa muhanga, mabomu na ukatili mwingi. Itawachukua miaka mingi kupata marafiki mana kweli hawaaminiki....
 
View attachment 2137541
Mwanasoka raia wa Uturuki Aykut Demir alikataa kuvaa tisheti maalumu zilizoandikwa "No To War" katika mechi ya Jumapili iliyoikutanisha timu yake ya BB Erzurumspor dhidi ya vinara wa Turkish Second Division timu ya Ancaragucu


Aykut alipohojiwa kuhusiana na tukio hilo, alisema "Maelfu ya watu wanakufa kila siku huko Mashariki ya kati, najisikia vibaya naungananao kwenye maumimivu watu wasiokuwa na hatia, wale ambao wanapuuza mauwaji yao wanafanya vitu hivi linapokuja swala la nchi za ulaya, sikutaka kuvaa hizo tisheti kwa sababu hazikutengenezwa kwa ajili nchi za kule".

Mimi ni Dalmine nasema hivi,
Mwanaume PUTTIN yuko sawa kabisa. Palestina, Syria na Nchi zingine za kiarabu watu wanauliwa kila leo pamoja na watoto wasiyokuwa na hatia lakini limeonekana jambo la kawaida kama vile wanaouliwa kule ni wanyama na siyo binadamu. Lakini imeguswa nchi ya ulaya kila mtu anapiga kelele. Siungi mkono mauwaji yanayotokea ukraine kama NIKWELI WANAUAWA, lakini nguvu zinazotumika sasa kupinga haya mauwaji yangetumika mashariki ya kati nadhani ingelikuwa vizuri zaidi.

Mungu awe pamoja nawe ndugu yetu Aykut.
Ukweli unaogopwa kusemwa sasa huyu ndio kidume,kakataa kuwa mnafiki.
 
Back
Top Bottom