Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Safi sana huyo mwamba. Huwa sina shaka na waturuki. Maelfu wanauwawa kwa vita za mchongo Afrika na Arabuni. Marekani ni adui wa dunia. Mimi hata nchi yao sijawahi kutamani kwenda kama wengi walivyo na ulimbukeni wa kutamani kwenda huko.
NB: Nimekomenti kama mtu huru sina mahaba na nchi yoyote ila nasimamia haki. Hata hao Urusi pengine wangekua super power wangetuchezeshea ngoma ileile kama wamarekani. Watu weupe hawaaminiki, maslahi mbele kwa gharama za uhai.
NB: Nimekomenti kama mtu huru sina mahaba na nchi yoyote ila nasimamia haki. Hata hao Urusi pengine wangekua super power wangetuchezeshea ngoma ileile kama wamarekani. Watu weupe hawaaminiki, maslahi mbele kwa gharama za uhai.