Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji817][emoji817][emoji817]Misukule ya kimarekani inapita. Kimyakimya kwenye huu uzi. PUMBAVU ZAO
Vipi kama waisrael ndiyo wangerikuwa ndiyo wanauawa!Jamaa wanapenda sana mambo ya dini wasiwasi umewajaa. Kutafuta amani kunaanzia kwao wenye vita wenyewe na dunia inawaunga mkono ila vita vingi vinavyopigwa kwenye nichi za kiarabu ni wao na makundi yao wanachangia amani isiwepo wao hawafundishwi kutafuta amani ila kulipiza kisasi kuuwa kwa kujitoa muhanga, mabomu na ukatili mwingi. Itawachukua miaka mingi kupata marafiki mana kweli hawaaminiki....
Wewe ni Pongo sawaNyumbu bana, kila nyumbu anacomment very nice, yuko sawa, kweli kabisa, n.k [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
π―π―π―β€οΈβ€οΈβ€οΈπ₯°πPengine sie tunajiona tunasikilizana sana na tunapenda sana amani ni kwa kuwa tumekubali kuibiwa
Bogus kabisa wewe
Ukweli unaogopwa kusema sasa huyu ndio kidume,kakataa kuwa mnafiki.
Ninga onyelileshiAnajitambuwa?? Wewe je?
ila hajakuzidi ww [emoji4]Bogus kabisa wewe
Akili zako unazijua mwenyewe πila hajakuzidi ww [emoji4]
This is already World War III. Putin started it long ago & Ukraine is only the current front. He will escalate anyway, and it's even more likely if he succeeds in destroying Ukraine because you have again convinced him you won't stop him even though you could.View attachment 2137541
Mwanasoka raia wa Uturuki Aykut Demir alikataa kuvaa tisheti maalumu zilizoandikwa "No To War" katika mechi ya Jumapili iliyoikutanisha timu yake ya BB Erzurumspor dhidi ya vinara wa Turkish Second Division timu ya Ancaragucu
Aykut alipohojiwa kuhusiana na tukio hilo, alisema "Maelfu ya watu wanakufa kila siku huko Mashariki ya kati, najisikia vibaya naungananao kwenye maumimivu watu wasiokuwa na hatia, wale ambao wanapuuza mauwaji yao wanafanya vitu hivi linapokuja swala la nchi za ulaya, sikutaka kuvaa hizo tisheti kwa sababu hazikutengenezwa kwa ajili nchi za kule".
Mimi ni Dalmine nasema hivi,
Mwanaume PUTTIN yuko sawa kabisa. Palestina, Syria na Nchi zingine za kiarabu watu wanauliwa kila leo pamoja na watoto wasiyokuwa na hatia lakini limeonekana jambo la kawaida kama vile wanaouliwa kule ni wanyama na siyo binadamu. Lakini imeguswa nchi ya ulaya kila mtu anapiga kelele. Siungi mkono mauwaji yanayotokea ukraine kama NIKWELI WANAUAWA, lakini nguvu zinazotumika sasa kupinga haya mauwaji yangetumika mashariki ya kati nadhani ingelikuwa vizuri zaidi.
Mungu awe pamoja nawe ndugu yetu Aykut.