Mwanasoka Raia wa Uturuki Aykut Demir alikataa kuvaa tisheti maalumu zilizoandikwa "No To War" Sababu?

Safi sana huyo mwamba. Huwa sina shaka na waturuki. Maelfu wanauwawa kwa vita za mchongo Afrika na Arabuni. Marekani ni adui wa dunia. Mimi hata nchi yao sijawahi kutamani kwenda kama wengi walivyo na ulimbukeni wa kutamani kwenda huko.

NB: Nimekomenti kama mtu huru sina mahaba na nchi yoyote ila nasimamia haki. Hata hao Urusi pengine wangekua super power wangetuchezeshea ngoma ileile kama wamarekani. Watu weupe hawaaminiki, maslahi mbele kwa gharama za uhai.
 
Vipi kama waisrael ndiyo wangerikuwa ndiyo wanauawa!
 
Mrusi na Marekani walikuwa anadondosha mabomu daily ktk majiji ya Raqqah,Allepo, Kobane, Tadmur,Mosul n.k ndani ya Iraq na syria lakini hakukuwa na matangazo kama haya ya Ukraine.

Na hizi propaganda zote za kimagharibi ni kwasababu tu anaepigana ni hasimu wao (Putin) ,laa sivyo angekuwa ni mmarekani n uingereza ndio wanashambulia basi media zao zote zingebariki
 
Maisha wanayoishi wa Ukraine hii wiki ndio maisha wanayoishi wa middle east na Africa kwa miaka mingi.

I'm pro-peace lakini kitu kinachonitia hasira Hawa wazungu kujiona hawastahili vita ni kweli hakuna aneyependa kufa ,lkn wao wanasema hayo mambo ya kuuana ni ya waafrica na waarabu....yaani sisi tukifa hakuna shida.

Kuna muda naona wauwane tu πŸ’”
 
This is already World War III. Putin started it long ago & Ukraine is only the current front. He will escalate anyway, and it's even more likely if he succeeds in destroying Ukraine because you have again convinced him you won't stop him even though you could.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…