Mwanaspoti: George mpole darasa la saba 2005, sua 2010

Agribusiness ipo sua kitambo
Hata kama, Huyu Hana hyo degree,, Unapozungumzia AEA ni uchumi uliobase kwenye shughuli za Kilimo..
Mimi nimepita SUA.. hakuna kozi anaweza kuniongopea paka yeyote
 
George hajasema kama ni degree, dipolma ama certificate, mwandishi ndio kaunda hiyo degree..

Hivi hakusema mwaka wa kuzaliwa, tupime na huo mwaka wa shule.. Maana wachezaji bongo kupunguza miaka hawajambo.
28yrs
 
Kwani kuna mahali kasema amesoma degree inawezekana alisoma certificate ya mwaka moja tu baada ya kuhitimu kidato cha nne...
Dah,imeandikwa kabisa amemaliz degree SUA 2010 mkui hujaona!?
 
Amepunguza umri ili acheze mpira akichukuliwa kama kijana. Yawezekana alimaliza kweli SUA mwaka 2010, yaani miaka nane iliyopita, na sasa atakuwa na miaka zaidi ya 30+, so ili kuonyesha bado ni mdogo, mwakawake wa kuzaliwa ameuvuta mbele na ndio akajikuta na darasa la saba analivuta mbele hadi kukaribiana na degree
 
Labda kabukua kama Erick Shigongo.

Eric hajagusa kabisa elimu ya sekondari na alifeli elimu ya msingi ila akatandika GPA ya 4.8 Chuo Kikuu kwenye shahada yake ya kwanza.
Kumbuka aliingia chuo kikuu akiwa tayari na pesa, acha hiyo GPA ya 4.8, hata angetaka PhD bila kusoma angepata.
 
Mwandishi amesema nanukuu"wanaomchukulia poa George Mpole wanakosea jamaa ana Shahada ya SUA". Sasa ndio maana watu wameuliza miaka mitano amesoma ordinary level na Advanced Level?
Hapohapo na jiwe moja la biashara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…