Mwanaspoti: George mpole darasa la saba 2005, sua 2010

Mwanaspoti: George mpole darasa la saba 2005, sua 2010

Agribusiness ipo sua kitambo
Hata kama, Huyu Hana hyo degree,, Unapozungumzia AEA ni uchumi uliobase kwenye shughuli za Kilimo..
Mimi nimepita SUA.. hakuna kozi anaweza kuniongopea paka yeyote
 
naaam niko hapa napitia mahojiano ya ya mpole na makanjanja ya mwanaspoti mambo ni bull bull

mpole-1-jpg.2332380

View attachment 2332381
Kama ni kipanga sana tuseme alimaliza akiwa na miaka 23 mwaka 2010 na sasa ni miaka 12 baadae, maana yake kwa sasa ana miaka 35. Na hata ukimuona ni mkubwa.
 
Amepunguza umri ili acheze mpira akichukuliwa kama kijana. Yawezekana alimaliza kweli SUA mwaka 2010, yaani miaka nane iliyopita, na sasa atakuwa na miaka zaidi ya 30+, so ili kuonyesha bado ni mdogo, mwakawake wa kuzaliwa ameuvuta mbele na ndio akajikuta na darasa la saba analivuta mbele hadi kukaribiana na degree
 
Labda kabukua kama Erick Shigongo.

Eric hajagusa kabisa elimu ya sekondari na alifeli elimu ya msingi ila akatandika GPA ya 4.8 Chuo Kikuu kwenye shahada yake ya kwanza.
Kumbuka aliingia chuo kikuu akiwa tayari na pesa, acha hiyo GPA ya 4.8, hata angetaka PhD bila kusoma angepata.
 
Mwandishi amesema nanukuu"wanaomchukulia poa George Mpole wanakosea jamaa ana Shahada ya SUA". Sasa ndio maana watu wameuliza miaka mitano amesoma ordinary level na Advanced Level?
Hapohapo na jiwe moja la biashara?
 
Back
Top Bottom