Multiple Myeloma
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 466
- 393
Kwa age hyo c ndo risk ya kupata watoto wenye congenital anomaliesMwanaume wa 45+ yupo kweli?
Ukweli upo hiviiiii!!
* Below 45 don't bother yourself ku pm please!
* Mkristo
* Mpole
* Relocate🙁! Yawezekana?
* Waume za watu don't bother ku pm please!
****Kuna watu under 30 yrs mnasumbua sana na pm zenu zinakera***
Acha nifanye research yangu nijifunze kitu.
Huyo wa umri huo si ana mke au unataka mitala mana akikwambia hajaoa ni uongo
From the bottom of my heart[emoji2]Hahahaa.... Toka moyoni kabsaaa.
Kwa age hyo c ndo risk ya kupata watoto wenye congenital anomalies
Wanawake wabovu, mara nyingi ndio wenye Masharti...
Wana rekodi na uzoefu mkubwa ya kutendwa na watu aina tofauti.
Kuweka chaguo lako siwezi kuona ajabu, ninacho kuhurumia ni kwamba, SISI wanaume ni walewale.
Ni jitihada yako...heshima na kujitambua zaidi kama Mwanamke na kujua Majukumu yako, vinginevyo 45+ DMS (Doesn't make sense)
Haha.. chura wa nini sasa na uzee wakoUna chura yakutosha? Kichwa kinachaji? Nina 88+ yrs nakuja pm tumalizee hii business
Haina noma mzazi tusepe kimya kimya.Hapa hapatufai kamanda..tule kona
Automatically kupata ni ngumu maana kwa hiyo age they are almost occupiedHahahahhhh hapana Mkuu ndio maana nimesema mume wa mtu big 'No!
Fanya 40 niwe includedHahahahhhh hapana Mkuu ndio maana nimesema mume wa mtu big 'No!
Nirekebishe kauli yangu vipi Mrs air...!!rekebisha kauli sema wanawake wanaojitambua! wewe ndo mbovu maana umeshakata tamaa ya maisha
[emoji3][emoji3]kwani siku izi matumizi ya wanaume yamebadilika mkuu?Unamuhitaji kwa ajili ya nini!??
Nirekebishe kauli yangu vipi Mrs air...!!
Unanitaka nitoe maoni yangu unavyo taka wewe...!?
Sijaona wapi nimekosea accordingly to niliye lenga kumpa USHAURI.
Samahani, sikujua kama na wewe MRS ujumbe huu unakuhusu...!
HeheheheHapa hapatufai kamanda..tule kona
Jaribu bahati yako mkuu, huwezi jua walioenda pm wakawa na ni 30-Hapa hapatufai kamanda..tule kona