Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu....Vijana wanasumbua Sana. 45+ angalau. Utapata
Unapesa comrade?Mkuu....
Kesho natimiza 45, naomba unipokee huko piem....[emoji39] [emoji39]
Mkuu....Mwanaume wa 45+ yupo kweli?
Ukweli upo hiviiiii!!
* Below 45 don't bother yourself ku pm please!
* Mkristo
* Mpole
* Relocate🙁! Yawezekana?
* Waume za watu don't bother ku pm please!
****Kuna watu under 30 yrs mnasumbua sana na pm zenu zinakera***
Acha nifanye research yangu nijifunze kitu.
Amigo...Unapesa comrade?
Haaaaa duuuUnaweza kupata 40+ akuambie tuvumiliane mimi sina kitu.
Rejea mada yangu ' read between the lines Mkuu'wanawake reaonin zenu mnajua wenyewe chance ya kupata man wa kueleweka inapungua as age inavoongezeka
45+ wenye kujitambua wameoa tyr
au kama hajaoa basi hajielew na hato jielewa kamwe
ukitoa kund la wacace waliosalitiwa au kufiwa na wake zao
Na mimi natakaNaomba toka moyoni nikushauri kitu but through pm
[emoji2] [emoji2]Na mimi nataka
Hutaki?[emoji2] [emoji2]
Nataka loh! Utemi wa nini sasa[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hutaki?
Khaa naona ulikuwa na dalili za kunitolea nje naona biti limenisaidia[emoji23]Nataka loh! Utemi wa nini sasa[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mganemm Nina 64 ni mjane naitaji wakuniuguza je nimekidhi vigezo ?
Hata wewe unasumbua?Vijana wanasumbua Sana. 45+ angalau. Utapata