Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila tuseme ukweli ukitaka utulie akili mwanamke tafta mwanaume wa kuanzia miaka 37-44(kwangu mimi) mara nying wanakuwa wametulia fulan hv hana papara hata kitandani anachojua anachofanya!anajua sana wajibu wake nini ! sasa hawa wa kuzaliwa 1985men/ 1986mke NYOTA ZOOOTE UTAZIONA! yaan wana utoto jaman jaman! ova bado wanachuo vile!
mie mwanangu wa kike nikijabahatika kwakweli nitazingatia sana suala la umri wa mume wake aic potelea mbali asinielewe! eti mume ana 31 mke 29 pyeeee!
Mwanaume alofiwa na mke wake haitwi mjane. Ni mgane..mm Nina 64 ni mjane naitaji wakuniuguza je nimekidhi vigezo ?
Sawa tabibuKwa age hyo c ndo risk ya kupata watoto wenye congenital anomalies
Hayupo serious... Yupo kwenye research super dear...
Hana nauli ya huko pm!!Naomba toka moyoni nikushauri kitu but through pm
Dah... Na zaidi hakuna mwendo mwingine anaumudu zaidi ya the dying krochkroch au wa kimisheni ...mambo 69 au the tired dog ndiyo usahau kabisa... [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji13]Unayemtaka 45+ lazima:
Alishawahi oa yakamshinda!
.Ana familia(watoto).
.Ana tabia za kujua yeye tu.
.So mvumilivu wa changa moto za ndoa.
Jaribu ukimpata ni majaaliwa na bahati yako!
Dah.... [emoji15] [emoji15]Naomba toka moyoni nikushauri kitu but through pm
Dah.... Hii mbona iko wazi ....kupewa ofa ya gemu kwa kulipa bills [emoji87]Unamuhitaji kwa ajili ya nini!??
sawa asante kwa kunijuzaMwanaume alofiwa na mke wake haitwi mjane. Ni mgane..
LemutuzIvi kuna mwanaume 45+ siyo mume wa mtu!! Unatafuta ugomvi na wanawake wenzio
Hehehe ivi huyu mzee hanaga mke kweli mkuu?Lemutuz
Walishaachana na mkewe.Hehehe ivi huyu mzee hanaga mke kweli mkuu?
Basi mfanyie mwenzio konekisheni.Walishaachana na mkewe.