Mwanaume, acha kujitetea sana kwa mchumba/mke. Watoto uliozaa na wanawake wengine kabla yake usimwambie

Mwanaume, acha kujitetea sana kwa mchumba/mke. Watoto uliozaa na wanawake wengine kabla yake usimwambie

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Mwanaume kazi yake ni kuzalisha (kutoa mbegu). Hata ukiwa umegawa mbegu kwa wanawake 10 tofauti wewe kaa kimya tu. Usianze kumfungulia codes zote huyo mwanamke unayetaka kuishi ama unayeishi naye.

Acha awajue watoto anaowazaa yeye tu, wengine hawamuhusu. Hata kipato chako usimwambie, ili upate nafasi ya kuhudumia watoto wa nje. Ukijianika kwake atakubana sana.

Watoto wakisha kuwa wakubwa (7+yrs) ndipo unaanza kuwaleta home mmoja baada ya mwingine kwa mamlaka uliyonayo kama kichwa cha nyumba. Atakufanya nn? Akizingua unamkoromea au unampiga chini unatafuta mwingine.

N B. Ndoa hazidumu siku hizi kwasabb wanaume mumeacha asili yenu ya ubabe na kufanya maamuzi magumu.
 
Watabisha ila ndo ukweli ,miaka kadhaa nyuma huko nilikua najitia mwema sanaa kwa wife yani ile baby sorry baby sorry ghafla nikaona kama jahazi linazama bin dharau flani hivi chap nikaongea na master mzee wangu akanipa mfumo " dogo kua kauzu zaidi ya dagaa usicheke na kima " nikakijenga upya now maisha safi adabu kama zote na nimefanya hadi ubunifu naweza panga na mshkaji anipigie alafu naongea maneno makali sanaaa .

" muueni huyo kama anazingua " au kama vipi mumbake tu basi anatoa jicho huyo ,.nb upendo haujapotea ila kale ka nidhamu kapo
 
Baby baby nyingi zisizo na matokeo mliyoingia nayo Kwenye ndoaa Leo hii wazee mlio OA hamzitaki Tena ....
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mwanaume kazi yake ni kuzalisha (kutoa mbegu). Hata ukiwa umegawa mbegu kwa wanawake 10 tofauti wewe kwa kimya tu. Usianze kumfungulia codes zote huyo mwanamke unayetaka kuishi ama unayeishi naye.

Acha awajue watoto anaowazaa yeye tu, wengine hawamuhusu. Hata kipato chako usimwambie, ili upate nafasi ya kuhudumia watoto wa nje. Ukijianika kwake atakubana sana.

Watoto wakisha kuwa wakubwa (7+yrs) ndipo unaanza kuwaleta home mmoja baada ya mwingine kwa mamlaka uliyonayo kama kichwa cha nyumba. Atakufanya nn? Akizingua unamkoromea au unampiga chini unatafuta mwingine.

N B. Ndoa hazidumu siku hizi kwasabb wanaume mumeacha asili yenu ya ubabe na kufanya maamuzi magumu.
Tumeacha asili yetu ya ubabe 😂😂😂😂
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Watabisha ila ndo ukweli ,miaka kadhaa nyuma huko nilikua najitia mwema sanaa kwa wife yani ile baby sorry baby sorry ghafla nikaona kama jahazi linazama bin dharau flani hivi chap nikaongea na master mzee wangu akanipa mfumo " dogo kua kauzu zaidi ya dagaa usicheke na kima " nikakijenga upya now maisha safi adabu kama zote na nimefanya hadi ubunifu naweza panga na mshkaji anipigie alafu naongea maneno makali sanaaa .

" muueni huyo kama anazingua " au kama vipi mumbake tu basi anatoa jicho huyo ,.nb upendo haujapotea ila kale ka nidhamu kapo
kupata kichekesho kama hiki tubonyeze ngapi?
 
Kama kazi ya mwanaume ni kuzalisha unajificha ficha nini na ni kazi yako? Mwambie huyo mwanamke wako kazi yako ni kuzalisha, kama wewe ni mwanaume kweli atakukubali na yeye umzalishe.
 
Mwanaume kazi yake ni kuzalisha (kutoa mbegu). Hata ukiwa umegawa mbegu kwa wanawake 10 tofauti wewe kwa kimya tu. Usianze kumfungulia codes zote huyo mwanamke unayetaka kuishi ama unayeishi naye.

Acha awajue watoto anaowazaa yeye tu, wengine hawamuhusu. Hata kipato chako usimwambie, ili upate nafasi ya kuhudumia watoto wa nje. Ukijianika kwake atakubana sana.

Watoto wakisha kuwa wakubwa (7+yrs) ndipo unaanza kuwaleta home mmoja baada ya mwingine kwa mamlaka uliyonayo kama kichwa cha nyumba. Atakufanya nn? Akizingua unamkoromea au unampiga chini unatafuta mwingine.

N B. Ndoa hazidumu siku hizi kwasabb wanaume mumeacha asili yenu ya ubabe na kufanya maamuzi magumu.
Umeoa mkuu?
 
Siku hz wanawake sjui wanatufanyaje yaan wanaume wengi hatuna ujasiri wa kufanya hayo
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Watabisha ila ndo ukweli ,miaka kadhaa nyuma huko nilikua najitia mwema sanaa kwa wife yani ile baby sorry baby sorry ghafla nikaona kama jahazi linazama bin dharau flani hivi chap nikaongea na master mzee wangu akanipa mfumo " dogo kua kauzu zaidi ya dagaa usicheke na kima " nikakijenga upya now maisha safi adabu kama zote na nimefanya hadi ubunifu naweza panga na mshkaji anipigie alafu naongea maneno makali sanaaa .

" muueni huyo kama anazingua " au kama vipi mumbake tu basi anatoa jicho huyo ,.nb upendo haujapotea ila kale ka nidhamu kapo
Yoote hiyo kumtisha mwana wa mwenzio Mungu anakuona..!
 
Hamna vifua, mbona sie mnalea wasio wenu na hamjui! Hebu jifunzeni kwetu ebo!
 
Mwanaume kazi yake ni kuzalisha (kutoa mbegu). Hata ukiwa umegawa mbegu kwa wanawake 10 tofauti wewe kaa kimya tu. Usianze kumfungulia codes zote huyo mwanamke unayetaka kuishi ama unayeishi naye.

Acha awajue watoto anaowazaa yeye tu, wengine hawamuhusu. Hata kipato chako usimwambie, ili upate nafasi ya kuhudumia watoto wa nje. Ukijianika kwake atakubana sana.

Watoto wakisha kuwa wakubwa (7+yrs) ndipo unaanza kuwaleta home mmoja baada ya mwingine kwa mamlaka uliyonayo kama kichwa cha nyumba. Atakufanya nn? Akizingua unamkoromea au unampiga chini unatafuta mwingine.

N B. Ndoa hazidumu siku hizi kwasabb wanaume mumeacha asili yenu ya ubabe na kufanya maamuzi magumu.

Naye akibeba Mimba za Wanaume Wengine alafu wakifikisha Miaka Saba ndîo akuambie ili Baba zào wawachukue?

Hata Wanawake Siku hizi wanafanya Kazi, Vipato nao wasieleze ukweli wa Vipato vyao.
Hiyo ndîo HAKI.

Je Hapo kutakuwa na familia?
 
Back
Top Bottom