Mwanaume kazi yake ni kuzalisha (kutoa mbegu). Hata ukiwa umegawa mbegu kwa wanawake 10 tofauti wewe kaa kimya tu. Usianze kumfungulia codes zote huyo mwanamke unayetaka kuishi ama unayeishi naye.
Acha awajue watoto anaowazaa yeye tu, wengine hawamuhusu. Hata kipato chako usimwambie, ili upate nafasi ya kuhudumia watoto wa nje. Ukijianika kwake atakubana sana.
Watoto wakisha kuwa wakubwa (7+yrs) ndipo unaanza kuwaleta home mmoja baada ya mwingine kwa mamlaka uliyonayo kama kichwa cha nyumba. Atakufanya nn? Akizingua unamkoromea au unampiga chini unatafuta mwingine.
N B. Ndoa hazidumu siku hizi kwasabb wanaume mumeacha asili yenu ya ubabe na kufanya maamuzi magumu.
Acha awajue watoto anaowazaa yeye tu, wengine hawamuhusu. Hata kipato chako usimwambie, ili upate nafasi ya kuhudumia watoto wa nje. Ukijianika kwake atakubana sana.
Watoto wakisha kuwa wakubwa (7+yrs) ndipo unaanza kuwaleta home mmoja baada ya mwingine kwa mamlaka uliyonayo kama kichwa cha nyumba. Atakufanya nn? Akizingua unamkoromea au unampiga chini unatafuta mwingine.
N B. Ndoa hazidumu siku hizi kwasabb wanaume mumeacha asili yenu ya ubabe na kufanya maamuzi magumu.