Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Huko nilipita mydear..No comment!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko nilipita mydear..No comment!
Asante Mama Mdogo kwa jibu zuri, sidhani kama inahitaji ufafanuzi ZaidiElimu, Elimu, Elimu!!! Money Penny uliyeleta mada hii na kuweka hiyo clip una idea yoyote kuhusu anatomy ya viongo vya uzazi vya mwanamke na mwanamme kwa ndani na kwa nje?? Elimu, Elimu, Elimu! Shame on you!!
Hahahaha
Uuuwi
Haya wapendwa njooni huku
Nimefungua you tube Channel. Yangu jina Money PENNY Tz
Msisahau ku subscribe plz
Link hii hapa
DADA WA MAPENZI NOMA SANA, MWANDISHI
MKALI, WA UKWELI
AMEKUJA SASA LIVE KWA YOU TUBE
BONYEZA HAPA UMWONE
Tazama video dada maana hata mm sijaona vizuri labda utaniba jibu amemtolea wapi huyo mtptoAmemtolea wapi huyo mtoto?
Haiwezekani hiyo kitu hapa sasa ndo kumdhihaki Mungu
Hahaha! Nasubscribe wapi ? Halafu huyo kwenye hiyo clip ndo wewe?Subscribe tuuuu utanionaaaaaaaa mbeleni
Unacheza na wazungu, sio kweli hata kidogo.[emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Het wana jukwaa wezangu katika dunia ya leo kuna vitu ving vya sayans vimetengenezwa na kuwezekana vingine vikawa na faida na vingine hasara nimeona clip ya video lakin sjaamin kama kunauwezekano wa mwanaume kubeba mimba na kujifungua et mtoto yan had nimehs kichefu chefu nilipo angalia nkaona xx binadamu wanavyo mrekebisha muhumbaj kwa kuona alivyo umba alikosea sana!!! Nimeandka hii thread samahan kwa ntakaye mkera atakapo angalia iyo clip
mi sielewiMtoto amepitia njia gani?
Inaonekana uliipania sana JF. KARIBU JAMVINIHet wana jukwaa wezangu katika dunia ya leo kuna vitu ving vya sayans vimetengenezwa na kuwezekana vingine vikawa na faida na vingine hasara nimeona clip ya video lakin sjaamin kama kunauwezekano wa mwanaume kubeba mimba na kujifungua et mtoto yan had nimehs kichefu chefu nilipo angalia nkaona xx binadamu wanavyo mrekebisha muhumbaj kwa kuona alivyo umba alikosea sana!!! Nimeandka hii thread samahan kwa ntakaye mkera atakapo angalia iyo clip
Kwa nn mwanaume asizae, mwanaume anaweza kuonekana mwanaume kwa nje ila kiundan ni ana maumbile yote ya kike na hata ma ovary anayo na akitoka na mwanaume mwenzake anapata mimba ila atazaa kwa kupasuliwa au kawaida itategemea yy anatakajeUnacheza na wazungu, sio kweli hata kidogo.[emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Hahaha!! Amna nimeshangazwa na hlo jambo tu mkuuInaonekana uliipania sana JF. KARIBU JAMVINI
Sio nature yakeKwa nn mwanaume asizae, mwanaume anaweza kuonekana mwanaume kwa nje ila kiundan ni ana maumbile yote ya kike na hata ma ovary anayo na akitoka na mwanaume mwenzake anapata mimba ila atazaa kwa kupasuliwa au kawaida itategemea yy anatakaje
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Hahaha!! Amna nimeshangazwa na hlo jambo tu mkuuInaonekana uliipania sana JF. KARIBU JAMVINI