Mwanaume ajinyonga hadi kufa golini. Aacha chupi ya kike pembeni

Mwanaume ajinyonga hadi kufa golini. Aacha chupi ya kike pembeni

Ugonjwa wangu huo maalim tafadhali niachie mimi hiyo chupi!
Hapana bwana mie nitakupa laki uniachie chupi hiyo bwana...yaani ukiinusa pale mbususu inapokalia napataka stimu kama wanayapota wale wazee wa cocain
 
Hapana bwana mie nitakupa laki uniachie chupi hiyo bwana...yaani ukiinusa pale mbususu inapokalia napataka stimu kama wanayapota wale wazee wa cocain
Shekhe mimi nakupa laki 2 pliz naiomba chupi hiyo wazungu wanaiita sniffing!Naelekea Iringa hapa naenda kuiomba kwa mkuu wa mkoa ila naanzia polisi!
 
Shekhe mimi nakupa laki 2 pliz naiomba chupi hiyo wazungu wanaiita sniffing!Naelekea Iringa hapa naenda kuiomba kwa mkuu wa mkoa ila naanzia polisi!
Basi mie nakupa laki tano hiyo chupi lazima niondoke nayo
 
Chupi mwenyewe ashajulikana nipo kwa mtendaji hapa kata ya goli la mpira kumbe ni ya Meenna Ally amekuja na ndege ameichukua ameondoka nayo Dar!
 
Kafa kisayansi sana
Kafia golini kuoneaha kuwa alipiga goli kadhaa kwa mtu(kaambatanisha na ushahidi wa pichu)
Naomba ajengewe sanamu ya heshima kuzimu
 
Hiyo chupi anusishwe mbwa wa polisi aanze kazi,
 
Tyson Kilasi (32), Mkazi wa Kijiji cha Mawindi Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe, amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwenye goli la kuchezea mpira wa miguu wa kijiji hicho huku pembeni akiwa ameacha nguo ya ndani ya kike.

Mwenyekiti wa kijiji cha Mawindi Kata ya Igima, Elias Mwinami amethitibitisha kutokea kwa kifo cha Kijana huyo na kusema kifo hicho kimetokea usiku wa kuamkia January 18,2022.

Mwinami amesema chanzo cha kifo cha Kijana huyo bado hakijafahamika ambapo eneo ambalo mwili wa Kijana huyo wameukuta ni eneo la goli la mpira wa miguu na wamekuta nguo ya ndani ya Mwanamke.

“Tumemkuta ananing’inia kwenye goli lakini chanzo bado hakijafahamika na kimsingi tunalaani kitendo hiki ifike mahali tuelimike na hivi karibuni tu Poliai walikuja kutoa elimu kwa kweli wananchi waache kujichukulia sheria mkononi"
Nitaipataje hiyo chupi?
 
Duuu huyo homeboy kimemkuta Nini lakini mbona kajichukulia Sheria mkononi au wahuni wamefanya Yao maana Inawezekana alipiga goli kwenye goli la mtu na wamemdaka na kumtundika golini maana mahome boys wa huko Igima ni wahuni Sana na hua hawapendi masikhara!

Kamwene!
 
Back
Top Bottom