Na hutoweza kuelewa.Kipindi wenzetu mnasindikizwa shule na mkate umejaa jam ya chocolate sisi tulisindikizwa na teke na hatukuelewa, kweli ng'ombe wa masikini hazai
Anyway dada Chakorii ulitaka kusema umeliwa kimasihara au mwamba kakupa wateja yani sielewi
πππI got you.
Imafikirisha.
But Cation..... Ukiwa na akili Mapaja yako yatavuta wenye akili wenzio na Ukiwa Mjinja, mapaja Yako yatavuta wajinga wenzio.
Take time to learn. Find knowledge.
Na Kwa aina hii ya kutokusoma kitu na kukielewaβ¦ndio maana mnasaini mikataba mibovu kupindukia mnakuja kustuka Uko mikono mitupu.Kwa aina hii ya wananchi mimi nisingeuza bandari tu, ningeuza hadi bandama zao
Si ya kukosa π€Babu lazima ucheze Kwa kujinafasi.kifimbo chako mkono wa kuliaβ¦mziki laiiiiniiii