Mwanaume akikupenda na kukuhitaji katika maisha yake hakosi namna yakukupata

Mwanaume akikupenda na kukuhitaji katika maisha yake hakosi namna yakukupata

Kipindi wenzetu mnasindikizwa shule na mkate umejaa jam ya chocolate sisi tulisindikizwa na teke na hatukuelewa, kweli ng'ombe wa masikini hazai

Anyway dada Chakorii ulitaka kusema umeliwa kimasihara au mwamba kakupa wateja yani sielewi
Na hutoweza kuelewa.

Zingatia namna ya uwasilishaji wa fasihi simulizi na fasihi andishi utaelewa.matumizi ya lugha nyepesi na lugha mkanganyiko kama hii.

😜😜lengo si usumbufu..bali kupima matumizi ya ubongo namna ya kung’amua vitu vigumu 🤪🤪
 
I got you.
Imafikirisha.
But Cation..... Ukiwa na akili Mapaja yako yatavuta wenye akili wenzio na Ukiwa Mjinja, mapaja Yako yatavuta wajinga wenzio.

Take time to learn. Find knowledge.
👊👊👊

🫡🫡🫡

Hakika Uko kwenye namba ya waliouelewa uzi🤸‍♀️🤸‍♀️

😘😘
 
Kwa aina hii ya wananchi mimi nisingeuza bandari tu, ningeuza hadi bandama zao
Na Kwa aina hii ya kutokusoma kitu na kukielewa…ndio maana mnasaini mikataba mibovu kupindukia mnakuja kustuka Uko mikono mitupu.

Penda kusoma kitu,tafakari,tafuta maana zaidi ya moja,,rejea tena swala husika,soma tena…sasa chukua kati ya zile maana mbili ulizozipata..anangalia ni maana gani inafiti kwenye swala husika.

Mkurupuko si mzuri.siku kwenye huu uzi….hapana.utulivu ni muhimu kwenye kila kitu😁😁itakusaidia
 
Mfano wa mpenzi nilienae now tuna miaka 3 tuko kwenye mahusiano lakin pia kabla ya mahusiano tulikuwa na ukarbu kwa miaka 3 mungu ni mwema
Wachache mnoooooo watakaokuelewa.na mimi ni mmoja wapo.👊
 
Kama kuna yeyote aliyefahamu maudhui ya uzi huu naomba ututafsirie na sie wengine!
75B59D75-4F0E-4DEF-BA33-AB729370100B.jpeg
 
Back
Top Bottom