Mwanaume akikupenda na kukuhitaji katika maisha yake hakosi namna yakukupata

MM

SI NMEKUA CHAWA WAKO TAYARI CHOCHOTE KINACHOKUHUSU NIULIZWE MM NDO MTUNZA SIRI ZAKO NA CHAWA WAKO HUMU JF
HUNA BAYA MAMAAAAAAA
CHAKORIII FO RIIIIIIIli
Niwache😁😁😁hukawii kunitia kibiriti
 
nafikiri ishakuwa mbovu ndugu yangu.😆😆

Nafurahi kutumia uwasilishaji chonganishi.hakika mnapenda lugha rahisi sana
Wengine hizo fasihi hata hatuzijui, hit it on the head ili ijulikane moja😁, haya nieleweshe, hadi hapo mlipofika mwamba alimega keki ya taifa😁
 
Wengine hizo fasihi hata hatuzijui, hit it on the head ili ijulikane moja😁, haya nieleweshe, hadi hapo mlipofika mwamba alimega keki ya taifa😁
Mbona mnanichanganya jamani Kwa kutumia wakati uliopita ndugu mwndishi?

😎😎😎
 
Mbona mnanichanganya jamani Kwa kutumia wakati uliopita ndugu mwndishi?

😎😎😎
Aaah kwamba nitumie wakati uliopo timilifu?😁 haya endelea kunielewesha, mwamba anamega keki ya taifa hadi hapa story ilipoishia?😁
 
Aaah kwamba nitumie wakati uliopo timilifu?😁 haya endelea kunielewesha, mwamba anamega keki ya taifa hadi hapa story ilipoishia?😁
Zingatia wakati uliopo endelevu ndugu mtanzania mwenzangu.

💃💃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…