Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ukipika Makande utakuwa umetupatia sisi wa Milimani, ila usisahau kuyaunga nazi nyingi tujilambe hadi vidole 🤗Yeuyeeee….
Hadi makande tatakuwepo babu😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipika Makande utakuwa umetupatia sisi wa Milimani, ila usisahau kuyaunga nazi nyingi tujilambe hadi vidole 🤗Yeuyeeee….
Hadi makande tatakuwepo babu😁😁
Wengine hizo fasihi hata hatuzijui, hit it on the head ili ijulikane moja😁, haya nieleweshe, hadi hapo mlipofika mwamba alimega keki ya taifa😁nafikiri ishakuwa mbovu ndugu yangu.😆😆
Nafurahi kutumia uwasilishaji chonganishi.hakika mnapenda lugha rahisi sana
Aaah kwamba nitumie wakati uliopo timilifu?😁 haya endelea kunielewesha, mwamba anamega keki ya taifa hadi hapa story ilipoishia?😁Mbona mnanichanganya jamani Kwa kutumia wakati uliopita ndugu mwndishi?
😎😎😎
AmeliwaHakuingiza voko akitaka tunda kimasihara[emoji28][emoji28]
Kwamba amemaliza kuruka ruka..Enhe kwamba ....🤗🤗
Thanks Mjukuu, siku hiyo lazima Babu acheze ngoma za nyumbani kufurahia kuoza mjukuu 🤗Imeisha hiyo babu..
Wewe mtu muhimu sana ule chakula kizuri
Nakunywa mbenge😁😁😁nahusudu pombe ya asili iliyonikuzaBonge moja ya ujumbe.
Kunywa kinywaji hapo nakuja kulipa Niko njiani naja mkuu
Tamu balaa mbege, [emoji39][emoji39]Sote ni ndugu mkuu.karibu
View attachment 2678672
Nilitegemea nikute samari ili nielewe, kumbe umepigwa sugunyo...[emoji3][emoji3]sijaruka ruka nimesoma kila hatua lakini sijaelewa
Aiseee dadeq! Hii kitu aisee sijui hata kwann umeweka picha🤔huku Kwa chalamila napata Kwa tabu mpaka niweke orderSote ni ndugu mkuu.karibu
View attachment 2678672