Mwanaume akimpenda sana mwanamke husababisha uwezekano mkubwa wa kuachana

Mwanaume akimpenda sana mwanamke husababisha uwezekano mkubwa wa kuachana

NNa
naendelea kujifunza

mwanaume rijali;

1. hapendi, anahudumia tu

2. haoneshi uvumilivu au huruma yeyote kwenye tabia zisizoeleweka

3. hatabiriki, hapelekesheki, sio mtu wa mzaha

4. anatafuna mwanamke yeyote anayepita mbele yake

kiufupi ni bulldozer, ni chuma cha reli

😂kina wifi na wakwe wamekufanya nini mkuu, mbona unawasema hivyo?
Nakazia namba 4 ... mkuu
 
Back
Top Bottom