Halafu wanakuaga na watu wao ambo wako standby, ukizingua tu kashapata pa kushikaMwanamke akichepuka ujue amepeleka hadi moyo wake, ila mwanaume zimempeleka hamu tu.
Hizo hamu hauwezi kuzimalizia kwa mke wako?Mwanamke akichepuka ujue amepeleka hadi moyo wake, ila mwanaume zimempeleka hamu tu
Ndo mana tunaambiwa tusishindane na mwanamkeHalafu wanakuaga na watu wao ambo wako standby, ukizingua tu kashapata pa kushika
Kama una nguvu za kiume huwezi kusalia njia kuu.Kuna wanaume wanahisi wanawake hawaumii sana kama wao kuhusu suala la usaliti, ukweli ni kua
kubadilisha mbogaHizo nyege hauwezi kuzimalizia kwa mke wako?
Nyama tofauti, bucha tofauti na utamu tofauti ila heshima ipo pale pale kwa mke.Hizo nyege hauwezi kuzimalizia kwa mke wako?
Mwanamke yeye hataki kubadilisha mboga?kubadilisha mboga
Hivi nyie wanaume mnadhani sisi wanawake huwa hatukinai na hiyo sousage yenu kila siku na tunatamani kubadilisha tule hata kambale ila tunajizuia tu? Nyie kinachowashinda ni nini?Nyama tofauti, bucha tofauti na utamu tofauti ila heshima ipo pale pale kwa mke.
Sure mkuu, ndiyo maana unaweza lala na mwanamke leo kesho hutaki hata kumsikia kabisa.Mwanamke akichepuka ujue amepeleka hadi moyo wake, ila mwanaume zimempeleka genye tuu
Tatizo lenu mnazama moja kwa moja.Hivi nyie wanaume mnadhani sisi wanawake huwa hatukinai na hiyo sousage yenu kila siku na tunatamani kubadilisha tule hata kambale ila tunajizuia tu? Nyie kinachowashinda ni nini?
Ni aibu kwa mwanake kutoka nje ya ndoa, unamshushia hadhi mume wako mana ndo anakumilikiMwanamke yeye hataki kubadilisha mboga?
Kwani nyie hamzami moja kwa moja ? Kinachofanya mnatelekeza familia zenu kisa michepuko ni nini?Tatizo lenu mnazama moja kwa moja.
😏😏😏Uasherati tu unawasumbuaNi aibu kwa mwanake kutoka nje ya ndoa, unamshushia hadhi mume wako mana ndo anakumiliki
Ukiona hvy bc tatizo linaanza kwa mke, ila cha kwanza kabisa kwa sisi wanaume ni genye tuuKwani nyie hamzami moja kwa moja ? Kinachofanya mnatelekeza familia zenu kisa michepuko ni nini?
Makosa yenu mnawabebesha wanawakeUkiona hvy bc tatizo linaanza kwa mke, ila cha kwanza kabisa kwa sisi wanaume ni genye tuu
Kila mtu ana makosa yake ila kwenye suala la mwanaume kuzama kwa mwanamke mwngn ujue kosa kubwa lipo kwa mwanamkeMakosa yenu mnawabebesha wanawake