Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Hivi ni kwanini lakini mnatufanyia hivyo?
Mnatuaminisha mnatupenda sana na sisi tuna acknowledge kumbe shida yenu ni pussy tu.
Sikuzote ndo hivyo, inaanza tamaa then upendo unafuata ikiwa utamheshimu.
 
Imekuuma Ndo mana unatoa povu kama umeibiwa bwana pole mwaya uyo mwanaume nikimtaka ata Leo anioe namchukua sijaamua tu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] niko paleee

Unajifarijii na wakati umedanganywa atakuoaa kakuzalishaa kakimbiaa na huyo mwanamke wake hamuachiii wewe ni wa kukojolewa tu malengo anapanga na mkewe
 
Acha kujifariji eti mdada wa buza ***** ungejua nonapoishi ata uisngepata nguvu za kujibishan ana Mimi kinuka mkojo ww kwendraaa zako uko

Hebu nijue sasa unapoishii kinuka mkojo mwenzangu

Unatumiaa nguvuu sana kuwajibu watu wa jf utakimbiaa ID [emoji1787][emoji1787]
 
Wakiitwa wenye akili wewe utaenda???? Izo akili zako zilizo ishia matakoni Ndo unamtambia nani??? Na kuchambana nakuchamba vzr TU siogopi MTU karibu saaaana naivi aikubaligi kushindwa karibu cumava nikuchambe

Wewe ndio yule dada unaepostigi facebook “ kujipenda ndio kitu najuaga” “ cha peke ako kaburi”[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Nyiee [emoji2][emoji2] katakuja na caption ya mangekimambi nakojoaaaaa[emoji1787] wa hovyo sanaa weww mdada
 
Mambo zenu, naimani mko poa!

Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi? Yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Anakua hajikumbuki yeye binafsi namaanisha kimavazi na Maendeleo na Mahudisiano yake na Ndugu na wazazi yanakua mabovu.
 
Back
Top Bottom