Mwanaume aliezaliwa 1978, 1977,1976, 1975,1974,1973,1972,1971,1970

Mwanaume aliezaliwa 1978, 1977,1976, 1975,1974,1973,1972,1971,1970

hebu nitajie mali ulizonazo kama vile jumba (mahali lilipo), magari, miradi, nk. pia niambie HIV status yako (negative or positive). idadi ya watoto na wategemezi (dependants) ulionao. kama unafanya kazi Basic Salary na Gross Salary yako ni ngapi? niko within vigezo vyako: mimi ni mpole, mcheshi, mbunifu, na mambo mengine nayaweka kwenye mabano (...) maana wanasema usimwage kuku wengi kwenye mchele!

AVATAR ni chinja chinja. Ndio maana amuoi, mpaka basic salary za wanawake zaitajika, duh
 
Natamani niwe nawatembelea walikuwa kwenye ndoa kwa mtindo wa Dijital
 
Nina izo cfa zote. ila 2takuwa tuna sex mara 4 tu, kwa mwaka. Tuwasliane.

Mbodya mimi niliwahi kusikia uzazi wa majira; kumbe kuna na kufanya mapenzi kwa majira? Maana mara nne kwa mwaka nimefikiria zaidi-Masika (mara moja), kipupwe (mara moja), masika na vuli mara moja moja pia!
 
Kwanza kuliko yote napenda kujitambulisha.
Mimi ni mtulivu, mtalatibu.
Sipendi kuongea ongea sana.
Si mnene si mwembaba, mfupi, maji ya kunde.
Umri mwanzoni kwa miaka 30



MUME INABIDI
Mwanamme alie wai kuoa, au kuzaa.
Anae jua nini maana ya kulea, na kuwa na jukumu.
Hasie penda kuongea ongea sana.
Anae penda kufikiri vitu muhim vya kimaisha na mtafutaji.
Mpenda utani.
Mweye huruma kwa kila binadam.
Mkarim
Sio mshindani
Anae jiamini
Alie ridhika na maisha yake

Awe mtanzania
Mimi nina sifa zote hizo ila umenibagua kwenye umri kwakuwa mimi nina miaka 67!
 
AVATAR ni chinja chinja. Ndio maana amuoi, mpaka basic salary za wanawake zaitajika, duh

haa..haaa my dear Somoe, siku hizi mambo yamekuwa dijitali sio kama zama za analojia. lazima tuulize basic salary! halafu AVATAR isikutishe maana kuwa mjeshi haimaanishi kuwa chinja chinja. wewe hupendi mjeshi?
 
Uko serious kweli !!!!! Utapata tulia
 
hahahaahahahah!!! mbona the Boss, na Thanda mmeguna bila kusema chochote? si kawaida yenu, embu semini chochote kaka zangu. mkiona hivyo tumeshakuwa wengi tusaidieni kuokoa jahazi.
 
We ulizaliwa 197?
Ulishawahi kuolewa au kuzaa?
Una mtoto/watoto/
baba yao/zao wako wapi?Hai au?
yaani, nawe una sifa kama hizi za umtakaye?

"MUME INABIDI
Mwanamme alie wai kuoa, au kuzaa.
Anae jua nini maana ya kulea, na kuwa na jukumu.
Hasie penda kuongea ongea sana.
Anae penda kufikiri vitu muhim vya kimaisha na mtafutaji.
Mpenda utani.
Mweye huruma kwa kila binadam.
Mkarim
Sio mshindani
Anae jiamini
Alie ridhika na maisha yake

Awe mtanzania"
 
Haya wanaume formula hiyo hapo kazi imekuwa rahisi.bado namba za simu tu ndo hakuna.
 
Samahi kwa wote waliopotea njia,
nilisau kuandika kuwa mimi ni muislam
lakni kwangu dini sio kipingamizi.

inabidi nijieleze upya nafkiri
 
Kwanza kuliko yote napenda kujitambulisha.
Mimi ni mtulivu, mtalatibu.
Sipendi kuongea ongea sana.
Si
mnene si mwembaba, mfupi, maji ya kunde.
Umri mwanzoni kwa miaka 30



MUME INABIDI
Mwanamme alie wai kuoa, au kuzaa.
Anae jua nini maana ya kulea, na kuwa na jukumu.
Hasie penda kuongea ongea sana.
Anae penda kufikiri vitu muhim vya kimaisha na mtafutaji.
Mpenda utani.
Mweye huruma kwa kila binadam.
Mkarim
Sio mshindani
Anae jiamini
Alie ridhika na maisha yake

Awe mtanzania

dini una watoto wangapi? Kazi gani? Mi 1978
 
Back
Top Bottom