Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu nitajie mali ulizonazo kama vile jumba (mahali lilipo), magari, miradi, nk. pia niambie HIV status yako (negative or positive). idadi ya watoto na wategemezi (dependants) ulionao. kama unafanya kazi Basic Salary na Gross Salary yako ni ngapi? niko within vigezo vyako: mimi ni mpole, mcheshi, mbunifu, na mambo mengine nayaweka kwenye mabano (...) maana wanasema usimwage kuku wengi kwenye mchele!
Be very careful kuna matapeli wa mapenzi humu ndani.........usijeukaumia
Nina izo cfa zote. ila 2takuwa tuna sex mara 4 tu, kwa mwaka. Tuwasliane.
Mimi nina sifa zote hizo ila umenibagua kwenye umri kwakuwa mimi nina miaka 67!Kwanza kuliko yote napenda kujitambulisha.
Mimi ni mtulivu, mtalatibu.
Sipendi kuongea ongea sana.
Si mnene si mwembaba, mfupi, maji ya kunde.
Umri mwanzoni kwa miaka 30
MUME INABIDI
Mwanamme alie wai kuoa, au kuzaa.
Anae jua nini maana ya kulea, na kuwa na jukumu.
Hasie penda kuongea ongea sana.
Anae penda kufikiri vitu muhim vya kimaisha na mtafutaji.
Mpenda utani.
Mweye huruma kwa kila binadam.
Mkarim
Sio mshindani
Anae jiamini
Alie ridhika na maisha yake
Awe mtanzania
AVATAR ni chinja chinja. Ndio maana amuoi, mpaka basic salary za wanawake zaitajika, duh
Kwanza kuliko yote napenda kujitambulisha.
Mimi ni mtulivu, mtalatibu.
Sipendi kuongea ongea sana.
Si
mnene si mwembaba, mfupi, maji ya kunde.
Umri mwanzoni kwa miaka 30
MUME INABIDI
Mwanamme alie wai kuoa, au kuzaa.
Anae jua nini maana ya kulea, na kuwa na jukumu.
Hasie penda kuongea ongea sana.
Anae penda kufikiri vitu muhim vya kimaisha na mtafutaji.
Mpenda utani.
Mweye huruma kwa kila binadam.
Mkarim
Sio mshindani
Anae jiamini
Alie ridhika na maisha yake
Awe mtanzania