Mwanaume alivyo katika maamuzi na maisha yake ki ujumla ni matokeo ya utamaduni

Mwanaume alivyo katika maamuzi na maisha yake ki ujumla ni matokeo ya utamaduni

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow africa

Wanawake wengi wamekuwa wakilalamika kuwa wanaume ni wabinafsi,waongo, wanyonyaji, watesaji, wababe, hawataki kusaidia kazi za nyumbani na mengine mengi

Ukweli upo hivi

Culture imemtengeneza mwanaume kuwa jasiri na mtoa maamuzi ya mwisho katika familia ndio maana ata kama mwanaume ni mdogo lakini atashirikishwa ilo yeye atoe maamuzi kutokana na culture ilivyo mshep akiwa mdogo

Culture hiyo hiyo iligawanya kazi kulingana na gender kwamaana ipi zipo kazi ambazo mwanaume anaweza fanya lakini zipo kazi ambazo mwanamke hawezi kufanya lakini haiimaanishi kwamba ni kweli hawezi kufanya ila walizitenganisha kwa sababu zao binafsi

Kazi kama za nyumbani kuosha vyombo waliona ni fedhea kwa mwanaume kuosha vyombo ndio maana mpaka leo wanaume wengi wanakataa kuosha vyombo lakini kwangu sioni fedhea kwasababu hii
Je chombo nilicholia sitakiwi kuosha mpaka mwanamke aje aoshe? Na je kama mwanamke asingekuwepo je vyombo vingetumika vikiwavichafu?

Mfumo dume uhuu umetengenezwa kumdidimiza mwanamke katika hali ya uchumi kijamii na kimaisha kwa ujumla mfumo uhuu unamnyima mwanamke haki ya kumiliki mali pia kurithi mali kitu ambacho sio sahihi mtu yoyote anaweza miliki au kurithi kutoka kwa mtu yoyote bila kujali gender yake

Mtazamo wa mwanamke katika jamii

Jamiii inamchukulia mwanamke kama kiumbe dhaifu kwa maana ipi hawezi kujifanyia maamuzi yeye mwenyewe lakini pia jamii inamchukulia mwanamke kuwa mama wa familia hatakiwi kufanya kazi yaani kazi yake kubwa yeye ni kulea familia kitu ambacho sio sahihi jukumu la malezi ni letu sote baba na mama na sio mama peke yake

Dkt. Gwajima D
 
Nyie "Feminists" Eleweni kwamba hakuna mwanaume mwenye Akili timamu dunia hii atakubali muwe sawa kwenye nyanja zote.Hayupo.

Infact kampeni zenu zina waathiri nyie nyie wenyewe. Hakuna mwanaume atakaye awe sawa na mwanamke.
 
Nyie "Feminists" Eleweni kwamba hakuna mwanaume mwenye Akili timamu dunia hii atakubali muwe sawa kwenye nyanja zote.Hayupo.

Infact kampeni zenu zina waathiri nyie nyie wenyewe. Hakuna mwanaume atakaye awe sawa na mwanamke.
Sio kwa upande zote ila kijamii usawa unawezekana
 
Hellow africa

Wanawake wengi wamekuwa wakilalamika kuwa wanaume ni wabinafsi,waongo, wanyonyaji, watesaji, wababe, hawataki kusaidia kazi za nyumbani na mengine mengi

Ukweli upo hivi

Culture imemtengeneza mwanaume kuwa jasiri na mtoa maamuzi ya mwisho katika familia ndio maana ata kama mwanaume ni mdogo lakini atashirikishwa ilo yeye atoe maamuzi kutokana na culture ilivyo mshep akiwa mdogo

Culture hiyo hiyo iligawanya kazi kulingana na gender kwamaana ipi zipo kazi ambazo mwanaume anaweza fanya lakini zipo kazi ambazo mwanamke hawezi kufanya lakini haiimaanishi kwamba ni kweli hawezi kufanya ila walizitenganisha kwa sababu zao binafsi

Kazi kama za nyumbani kuosha vyombo waliona ni fedhea kwa mwanaume kuosha vyombo ndio maana mpaka leo wanaume wengi wanakataa kuosha vyombo lakini kwangu sioni fedhea kwasababu hii
Je chombo nilicholia sitakiwi kuosha mpaka mwanamke aje aoshe? Na je kama mwanamke asingekuwepo je vyombo vingetumika vikiwavichafu?

Mfumo dume uhuu umetengenezwa kumdidimiza mwanamke katika hali ya uchumi kijamii na kimaisha kwa ujumla mfumo uhuu unamnyima mwanamke haki ya kumiliki mali pia kurithi mali kitu ambacho sio sahihi mtu yoyote anaweza miliki au kurithi kutoka kwa mtu yoyote bila kujali gender yake

Mtazamo wa mwanamke katika jamii

Jamiii inamchukulia mwanamke kama kiumbe dhaifu kwa maana ipi hawezi kujifanyia maamuzi yeye mwenyewe lakini pia jamii inamchukulia mwanamke kuwa mama wa familia hatakiwi kufanya kazi yaani kazi yake kubwa yeye ni kulea familia kitu ambacho sio sahihi jukumu la malezi ni letu sote baba na mama na sio mama peke yake

Dkt. Gwajima D
Mwanamke ni Ke na mwanaume ni me na ke kwa wakati mmoja. So mie naona unaongea vitu rahisi sana. So Tuna haki sawa but Hatufanana kamwe. Ni kama fungu la kumi la tajiri na masikini. Wewe utatoa ten but yeye atatoa billion so zote zinakuwa zaka ila zinatofautiana. Ahsante
 
Back
Top Bottom