KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Na pengine karudi kwa demu ambaye hana hizo hips.Kachezea mahips kasepa, dah....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na pengine karudi kwa demu ambaye hana hizo hips.Kachezea mahips kasepa, dah....
Sijui mana sijamuona zaidi ya mwakaDadako Suraiya ameolewa na nani? Aliembadili hadi jina!!!
Ni kijiji gani hicho wanatoka uwoya had anazeeka akidanga, Sanchi sikuhizi kaolewa na kabadili diniUwoya n sanchi wanatoka kijiji kimoja,yani dada zangu wanauza mbunye tu na kwao uwezo upo
Jamaa alimvisha hadi Pete yule mnaijeriaNaona kuna jamaa keshamfanya singo maza.
Kule kwenu kabisa marangu kilema,juu ya maua seminaryNi kijiji gani hicho wanatoka uwoya had anazeeka akidanga, Sanchi sikuhizi kaolewa na kabadili dini
Duh wachagga empty set hao, tena uwoya ndio usiseme hamna kitu kabisaKule kwenu kabisa marangu kilema,juu ya maua seminary
Wote wanatpka familia bora kabisa,na baba lyamuya ndio mwenyekiti wa wachaga wa maua wanaoishi darDuh wachagga empty set hao, tena uwoya ndio usiseme hamna kitu kabisa
Wanaume kuna kitu zaidi ya hizo hips, shosti tukubali tu wanawake tumezidiana "kuna wenye mashine mnato, yani baba akiingia na kutoka kuna kasauti kanalia duu, duu," hapo mwanaume hata hati ya nyumba anakupa.Ni Kweli wana hela za kuchezea.
Mimi ningekua mwanaume mahips yamechongoka kama sinia za sele bonge nisingepoteza hata mbuni yangu
[emoji3][emoji87]nilifikiri mi peke yangu tu ndo naona kuwa kachemka ,hapendezi sabb namfahamu kabla ya kuongeza hizo hips alikuwa mrembo !Hizo hips zake kwakweli hapana, kama ni surgery arudi kwa Dr kufata chenji yake...hazina mwonekano mzuri amekua kama ni mtu mwenye ulemavu
[emoji3]tunaonekana tuna wivuSi tukisema watu wanatujia juu
Akatengeneze tena ziwe vizuri, hapendezi hataa[emoji3][emoji87]nilifikiri mi peke yangu tu ndo naona kuwa kachemka ,hapendezi sabb namfahamu kabla ya kuongeza hizo hips alikuwa mrembo !
Bora na wengine mmeona ni tatizo jmn!
Kaharibika
Aisee mpk tanasha[emoji119]Kaongeza tako kapendeza size ndogo maana alikuwa na flat screen, na mobeto kaongeza tako limezidi ukubwa kawa kama anavaa pampas iliyojaa
Tanasha alichoka kuchekwa kaona aongeze tu makalio ila kapendezaAisee mpk tanasha[emoji119]
Mungu siku ya hukumu tutamjibu nn yaani watu hawaridhiki kabisaa
Kwa mtoto alipata garasa aiseeWote wanatpka familia bora kabisa,na baba lyamuya ndio mwenyekiti wa wachaga wa maua wanaoishi dar
Duuh nilimuona mobeto ndani ya kichupi cha bichi aiseee izo pampas anavaaje...maana kishuzi hiki hapaKaongeza tako kapendeza size ndogo maana alikuwa na flat screen, na mobeto kaongeza tako limezidi ukubwa kawa kama anavaa pampas iliyojaa
Kaongeza makalio kwa kuhamisha mafuta ya tumbo tu makalioni hukoDuuh nilimuona mobeto ndani ya kichupi cha bichi aiseee izo pampas anavaaje...maana kishuzi hiki hapa
Makulanga kumbe nayo inaleta noma ktk ujifunguaji?Hizo operation ni mambo ya mpalange kweli? Sio malukanga [emoji16]
Haina madharaKaongeza makalio kwa kuhamisha mafuta ya tumbo tu makalioni huko
Hiyo ndio yenyewe, usalama ni operation...Makulanga kumbe nayo inaleta noma ktk ujifunguaji?