witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Yes darlingHivi ni kweli Vanessa ana mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes darlingHivi ni kweli Vanessa ana mtoto
Wanaijeria nasikia wana madude ya kijeshi, labda ndio lilimvutia poshyMnaijeria nahisi kafilisika na kaishiwa hela, pia kaona gharama za kummiliki posh queen ni kubwa sana, miezi 6 ukute demu anakudai hela za kununua paso, ukizingatia hapa Tanzania sio kwao, na misosi ya kitanzania nahis ilikuwa inampa shida yule mnaijeria, akaona usintanie ww, akamuacha dada kwenye mataa
Najiuliza huyo mnaijeria mweusi ana nini kipya ambacho mwanaume wa kibongo hana, kama ni kubadilisha ladha heri posh angedate na mwarabu, mhindi au mzungu..
Evelyn Salt cariha
Aah wapi yanakaa vibaya, tena wanaowekewa hizo silicone sijui ndio kabisa yanakua kama wamevaa pampers.
@Yna2 nimekumis rafiki
She has been botched[emoji1][emoji1787]Hizo hips zake kwakweli hapana, kama ni surgery arudi kwa Dr kufata chenji yake...hazina mwonekano mzuri amekua kama ni mtu mwenye ulemavu
Jackass niggersSo kuna maniga wanalipia 1M ili kumwaga?
Ndio maana kila siku nawasisitiza mtafute pesaa.Maana huyu bidada anaenda Dubai Mara Kwa mara na anatumia iPhone za Tsh. milioni 3, tena mbili.
Hapa Dar kuna watu wana pesa nyingi sana za kuchezea aisee.
View attachment 1389269