Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Pesa inatafutwa kwa njia yoyote ileDah wachaga nao hawako nyuma kwenye udangaji adse [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa inatafutwa kwa njia yoyote ileDah wachaga nao hawako nyuma kwenye udangaji adse [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hizo hips zake kwakweli hapana, kama ni surgery arudi kwa Dr kufata chenji yake...hazina mwonekano mzuri amekua kama ni mtu mwenye ulemavu
Hizo hips hazina uwiano kabisa na mapaja na vimguu kwakweli hazipendezi, aliemshauri afanye hivyo ana dhambiHips ziko kwenye magoti, unajua ni kafupi sasa sijui hakakushauriwa mbona hamisa zimekaa vizuri
Hata mi naona 😂😂Wanaume tumeumbwa kupenda kuangalia uumbaji japo kila mtu ana kitu anapenda kuangalia 😄😄 inawezekana huyo jamaa kaona hizo hipusi 😄😄
Aisee!
Hizo hips hazina uwiano kabisa na mapaja na vimguu kwakweli hazipendezi, aliemshauri afanye hivyo ana dhambi
Yani eti nitoe milion sijui laki 5 kumla star, si ajabu huko ndani ni madudu hamna cha ajabu atachofanya zaid zaid wewe ndo inabidi uoneshe ujuzi na pesa ni yako nyambaf huu ujinga siwezi kuufanya.
Kuna walimbwende kibao hio 1M unakula nae bata na mbususu unapewa yote.
Anewei labda ni ile kutaka sifa kwa washkaji kua nimepiga star nnje ya hapo ni ushamba tu.
Na hiyo miili ilivyo mikubwa kwakweli sidhani kama kweli wana maajabu. Yani mi hapo nahisi ni ile sifa tu kua nimetembea na star na zile shobo za wanaume washamba wengi.Halafu sasa ukimla hufaidi maana akishakula kitimoto na wine kazi kubwa inayobaki ni kujipiga picha, hata kujitingisha hawajui yaani utajuta kua nae room, bora kutafuta kuku wako wa kienyeji ukiwa unamla unamweleza nataka tena unajibiwa ni wewe tu baba sio hao vingereza vingi hamna raha yoyote
mnato wapo wachche , na wana hela mjini.kama ndo ivyo basi wanawake wengi wangekua na majumba mana wanazo wengi sana
Aache ushamba nadhani ndio maana alipewa range RoverNami namshangaa [emoji848]
Ndio huwa nawacheck na wengi wanaoenda pale huwa wameanza kuhatibika ukiona makalio yalivoshuka nyonyo, hizo pua na lips Bora kubaki tu naturalKumbe unawachekigi wale marafiki wawili Dr nasif na Dr Dubrow wako vizuri sana kama umebolonga au haiwezekani wanakwambia ukweli hawana njaa. Napenda wanavyotaniana [emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmh awe kidagaa mchele kama madam, hapana asee ile nayo too much
Ni wachaggaHv hawa kiasili n watu wa wap
hawajijui tu..mnato wapo wachche , na wana hela mjini.
Cosmetic surgery ni gharama na sensitive Sana Sasa hawa wanafanya cheap procedures zingine bado hazijakubali kisheria na kitaalamu wanapata shida sana.Ndio huwa nawacheck na wengi wanaoenda pale huwa wameanza kuhatibika ukiona makalio yalivoshuka nyonyo, hizo pua na lips Bora kubaki tu natural
Halafu licha ya kuwa ghali ila mwisho tu hufanya sura iwe tofauti aisee.Cosmetic surgery ni gharama na sensitive Sana Sasa hawa wanafanya cheap procedures zingine bado hazijakubali kisheria na kitaalamu wanapata shida sana.
View attachment 1902869
Sasa hawa wabongo nao wameanza kujichanganya huko kwa gharama hizo tutaanza kuwasikia wanalia muda sio mrefu maana lazima wataenda kwenye cheap procedures [emoji1][emoji1]
Halafu licha ya kuwa ghali ila mwisho tu hufanya sura iwe tofauti aisee.
Wabongo wao wanaenda Uturuki kufanya zile cheap
Natural ina raha yake fake inakuwa haina uhalisiaWakati huo mwanaume anapenda kitu natural yaani kuku wa kienyeji
Wataachana tuHivi Sanchy aliolewa? Niliona kaanza kuvaa nguo za staha, kabadili jina mara kapotea kabisa mitandaoni.....shababi aliefanikiwa kubeba hili jombo sio wa mchezo mchezo.
Hivi sajari ni sh ngapi kwani, nami nipitishe bakuli humu nikapunguze kitambi....
Ila makalio ya surgery sijui yanakaaje ni kama mtu amevaa pampas kweli, tena bora kuyaona kwenye nguo tu sio avue