Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
[emoji23][emoji23][emoji23]Posh ana sura nzuri sana[emoji7].
Japo akiongea utachoka[emoji28]
Mahips yale hapana yamekaa kama ngalawa za samaki samakiaaah aaah hapana
mkuu kwahiyo mtu akimcheki huyu jamaa na mpunga anao hata uwoya unakula safi tuu??Steve kazi yake ni kuuza wanawake bongo muvi/maarufu uchwara mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah siku ona hii post mzee kuna wana nawajua aah wanawatafuna sana hawa mastaa wetu alafu kimuonekano hawana mambo mengi lakini usiguse hizo balance zao za bank nilishaona chat na picha za mademu celebrity waliowatafuna ni industry karibia nzima wamepita nayo.Mademu wengi hasa hao wanao jipiga picha wakiwa ktk pozi tata kubinua matako wanajiuza,ila huwapati directly kuna mtu kati ukimjua ndiye anaye kuunga.
Mimi kwenye kampuni ninayofanya kazi mmoja wa wakurugenzi Kapiga Hamisa,connection inavyosemekana alikuwa Steve.
Na ndicho unatakiwa ufanye mwanaume ukiwa na mihela... Unagegeda warembo unamuacha unatafuta mwengine. Wao wanakaa kibiashara wee unakaa kiburudani zaidi.Mademu kama hawa mnyama Platnumz huwa anawakaza tu anasepa zake.
Kwani ukienda kula lunch au Dinner Hyatt regency una matumizi gani na miundo mbinu yote inayopatikana pale?
[emoji28][emoji28]Cheka tu Jf tufurahi jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Unanivunja mbavu zangu we binti, ati ngalawa za samaki samaki, wallah nimecheka sana.
weweee weweeee em kaangalie jf snap[emoji849][emoji849] uwone shape yangu ilivyokaa kibinadamu
Na huko oman au dubai watu wana hela kukupa $3000-5000 halafu wakakugegeda hawaoni shida kabisa sii tu bongo huko Kenya, South Africa , Nigeria ma slay queen wananunuliwa vibaya mno
kwani mkuu tumesema sio mzuri[emoji849][emoji847]Ni Wivu tuu alisoma na kaka yang huyo Dada namjua
Ni mzuri Sanaaaa Wazee askwambie mtu
Na huko oman au dubai watu wana hela kukupa $3000-5000 halafu wakakugegeda hawaoni shida kabisa sii tu bongo huko Kenya, South Africa , Nigeria ma slay queen wananunuliwa vibaya mno
Ulimletea za I love you nataka nikuoe nini?
Mwenzio yupo kazini wewe ukaleta mahaba ya kifilipino,
[emoji23][emoji23]
kwani mkuu tumesema sio mzuri[emoji849][emoji847]
mi nimesema izo hips zake
Mkuu kuna mhuni mmoja nilikua natafuta screenshot zake yeye yupo SA kazi yake ni kuwa expose hawa ma gold digger kazi yake yeye ana wainbox anawatajia dau wamrembo wanakubali mmoja wao anaitwa nomsa_87 instagram yeye hajaweka picha hata moja madem wanataja tu i.e R7000-10000 yeye anawaambia anawapa tiketi ya ndege madem wanafunguka tu i.e kwa siku 3 R10000-12000Hivi unajua USD 3000 hata Kwa USA ni nyingi, duuh posh queen akipewa dola elf 3 c anatumika matundu yote Lyamber
Oyoooo umemaliza. Waache wadange tu ***** mradi watumie akili na exploit opportunity kikwelikweli like tomorrow never rise.I think I am the only one who doesn't see anything wrong when beautiful women use their cookie and beauty to get ahead in life. The fastest way for a woman to close "kutusua au kutoboa" is not hard work, it is leveraging on her sexuality. The hot women who roll with politicians and rich dudes know that.
Unfortunately, they usually don't have the smarts to invest their money wisely so umri ukisogea (kuanzia 28) na wakipoteza attention wanasota instant.
If she is smart she should be stacking that paper to the ceiling as they say enjoy while it lasts, the beauty fades as you start clocking 28. As her agemates grind in 9-5 jobs, she should amass wealth that they can only dream of.