Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! Mimi nikimpigia inaita mara mbili kisha inakata baada ya kugundua nataka nimpige miti hapo awali niliingia na gia ya biasharaHuyo mdada ni Mzuri Sanaa
Nilipewa Nambake after few days akaniblock Aisee daah
[emoji445]"Huddah simu hashiki anadhani nataka kumpiga miti"[emoji445]..Khaligraph JonesHahaha! Mimi nikimpigia inaita mara mbili kisha inakata baada ya kugundua nataka nimpige miti hapo awali niliingia na gia ya biashara
Mashetani wa JF!
Hahaaaa umenikumbusha enzi hizo nilipata story kuna Msukuma alimpenda Miriam Odemba lkn alikuwa hana access ya kumwona wala kumtongoza..watu wakapiga hela sana kupitia hiyo deal mwisho wa siku Msukuma akaishia kupiga busu shavuni huku akiliwa ma mamilion.Mkuu unatokea Kanda ya Ziwa? au Tukuyu?
Nimejaribu kupiga picha ya yale mangalawa dah mshikaji kweli umemchoka!!Posh ana sura nzuri sana[emoji7].
Japo akiongea utachoka[emoji28]
Mahips yale hapana yamekaa kama ngalawa za samaki samakiaaah aaah hapana
Ni Kweli wana hela za kuchezea.
Mimi ningekua mwanaume mahips yamechongoka kama sinia za sele bonge nisingepoteza hata mbuni yangu
Huyo huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sele Bonge wa Kinondoni ee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mno[emoji28][emoji28][emoji28][emoji2]Nimejaribu kupiga picha ya yale mangalawa dah mshikaji kweli umemchoka!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata hips nzuri Aisee ni Noma
Umewahi kumuona Live ??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi kumbe na wewe hizielewagi zile hipsi eeeh
Yaaani na pesa zangu nipige demu kama huyu hapana aisee, karibuni Kigali au Bujumbura muone watoto wakali hatari
Sent using Jamii Forums mobile app