Mwanaume aliye tayari kuanza maisha ya ndoa aje

Mwanaume aliye tayari kuanza maisha ya ndoa aje

So mimi nikifikia kwenye Category ya kusaka mke nitataja wazi kwamba sifa kuu awe Mwanamke, elimu yake iwe ya utambuzi tu ili asinikalie kichwani,atoke kwenye kabila linaloogopa umasikini,tabia abaki na zake kwa kuwa nami nina zangu! Mwisho kabisa akiri wazi kwamba Bashite ni hafai kwa matumizi ya nyumbani!
ha hahaha nasubiria huo wakati
 
Mawasiliano no ya cm weka muhimu sana mubashara cjaona picha isiwe pasaport size
 
Njoo inbox mi natafute mwanamke we unatafuta mwanaume njoo pm tuongee wang
 
Back
Top Bottom