Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,119
- 738
Sema nije wapi tafadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taja sifa zako na za unayemtaka.Na mm jaman natafuta MTU Wa kunioa
ha hahaha nasubiria huo wakatiSo mimi nikifikia kwenye Category ya kusaka mke nitataja wazi kwamba sifa kuu awe Mwanamke, elimu yake iwe ya utambuzi tu ili asinikalie kichwani,atoke kwenye kabila linaloogopa umasikini,tabia abaki na zake kwa kuwa nami nina zangu! Mwisho kabisa akiri wazi kwamba Bashite ni hafai kwa matumizi ya nyumbani!
Njoo pmNa mm jaman nahitaji MTU Wa kunioa
Wewe huna mpango wa kuongeza jimbo? Just in case!ha hahaha nasubiria huo wakati
Aaaa no just joking my loveWewe umenichoka mamy?
Kina Ivuga wamenipiku eeeh!
la kupata pesa nina mpango huoWewe huna mpango wa kuongeza jimbo? Just in case!
He s comn soonNdo nn
Hapa ndo nimeshindwa kwenye kabilausiweke kabila bwana
Sifa zako sifa za unae mtakaNa mm jaman natafuta MTU Wa kunioa
Hili swali lako majibu yake magumu sana maana watu wanajibu uongoUlishawahi kufanya matusi au kutoa mimba?
siyo mbaya ukajaribuHapa ndo nimeshindwa kwenye kabila
Wamekuzidi kete ongeza speed za kufukuziaWewe umenichoka mamy?
Kina Ivuga wamenipiku eeeh!
Mkuu mi naona hatabkujalibu ni kosa maana kaweka kabila ili apate wachaga wenziesiyo mbaya ukajaribu
sawa tuMkuu mi naona hatabkujalibu ni kosa maana kaweka kabila ili apate wachaga wenzie
Maana naogopa kumleta huku ileje kuja kumpigisha matuta ya viazisawa tu
Kwa Nini?usiweke kabila bwana
anaogopesha wengineKwa Nini?