Herr muller
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 1,017
- 1,210
Hio kali sana dada yangu oky mimi hapa ni enterprenuer, je niko na nafasi ya ku-kudate my sister.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nakujua wewe ni muhudumu wa afya humtaki muhudumu mwenzio?1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu afadhali waganga wa kienyeji hatumo kwenye list1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sukubasi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa niaba ya Madreva ,Tumekusikia.
Aisee mi napenda kula hadi nahisi nna pepo. Nahisi nimekupa unaematch na mimi.
Mi ni mwalimu wa chekechea na ya watu wazima, (MEMKWA) njoo tuyajenge...
kwa hiyo we unapenda mabunja vunga,wazee wa kutafuna tafuna udambu dambu mchezo wa meno!!hatari sana..!
asante!!Mmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.
😱😱😱😱😱😱😱😳😳
😱😱😱😱😱😱😱😳😳
😱😱😱😱😱😱😱😳😳
kuna lijamaa langu ni li-mwalimu linatafuna wanafunzi hilooo halina mchezo kabisa,
Wewe ndiye totoo unaeingilia mambo yetu sisi wakubwa!!