Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Weeeeh wahenga waongo hao.Mmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeeeh wahenga waongo hao.Mmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.
Unaamini kuwa kazi zinainfluence kubwa sana kwenye maisha yetu?Utata ni tabia ya mtu bana
Mmh. Hao ni wale vichwa maji kwa mwenye akili timamu hawezi kubadilika Mumy.
Pamoja sana ndugu yangu, si vibaya ukitumegea siri yenu kidogo inayowafanya ninyi kukubalika.Mkuu mimi ni mwalimu wa waningo secondary school...
Na kwa ufupi huwa nafarijika sana kuona sisi walimu tunakubalika na kuheshimiwa kiasi hiki....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa uzoefu mkuu! Malizia upembuzi hata huku kwenye idara yetu naona umekua mama wa taifa1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhhhh! "Unaweza ukamchukia mtu kumbe ndiye mwenye heri na wewe na unaweza ukampenda mtu kumbe ndiye mwenye Shari na wewe"Unaweza kukataa mtu mwenya hei na wewe na ukampenda mtu mwenye shari na wewe.
Hili hutokea sana. Mtazamo waki una dosari lukuki.
Na ukimpenda mtu wala hujari kazi ipi anafanya unachoangalia ni mapenzi bwana bado hajampata wa kumpenda
Ulishapita nao wote?1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
nakupendaga sana kipenzMmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.