CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,572
- 1,379
Kwani wamekuambia wanataka kudate na ww?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu unajua hatavumilia kula kula kwako.
Wanawake hawa hawa wa Tz na JF ndio wampende mtu bila kujali kazi ipi anafanya? Hebu acha mzaha wewe
Me hata sijui jamaa yangu ana kazi gani.I don't careWanawake hawa hawa wa Tz na JF ndio wampende mtu bila kujali kazi ipi anafanya? Hebu acha mzaha wewe
Nimesema wanawake hawahawa wa Tz na jf....hakuna mwanamke Tz asiejali unafanya kazi gani ndio maana swali la kwanza huwa 'unafanya nini'. Hata ukienda kwenu kusrma umepata mtu watakuuliza unafanya.nini.Rrondo wanawake wa jf wapoje jamani achana na maisha fake wanayoishi jf huku watu wanafake sana
Acha fix wewe.
Nimesema wanawake hawahawa wa Tz na jf....hakuna mwanamke Tz asiejali unafanya kazi gani ndio maana swali la kwanza huwa 'unafanya nini'. Hata ukienda kwenu kusrma umepata mtu watakuuliza unafanya.nini.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!Mm bwana nikikupenda nakupenda ww ulivyo mengine ya ziada tu uwe navyo usiwe navyo ewala
Wa kuchonga!
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
Mnajitambua sana nyie watoto, nimependa fikra zenu na mitazamo yenu, naomba muiishi katika uhalisia wakeUmeonaeeee. Siku akipenda hasaa hii kauli lazima aikane. 😂😂😂
Tena atakana mara mia na usikute atakuja kumpata mwanaume hata kazi hana ata uwezo wa kuingiza sh mia hana
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Ha ha ha haIla kama sikupendi nitakuomba mahela mpaka ujute yaani mpaka uondoke mwenyewe
Stori tu nyuma ya keyboard...mizinga,kuangalia usawa ndio utamaduni. Hamna mtu anataka au kupenda shida.Mnajitambua sana nyie watoto, nimependa fikra zenu na mitazamo yenu, naomba muiishi katika uhalisia wake
Stori tu nyuma ya keyboard...mizinga,kuangalia usawa ndio utamaduni. Hamna mtu anataka au kupenda shida.
Asante kaka akee tunakupendaMnajitambua sana nyie watoto, nimependa fikra zenu na mitazamo yenu, naomba muiishi katika uhalisia wake
Jua kwamba Upendo huja automatically na sio kutafuta,bkikubwa Upendo wa KweliMmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.
😳😳😳 Kweli mkuu?Stori tu nyuma ya keyboard...mizinga,kuangalia usawa ndio utamaduni. Hamna mtu anataka au kupenda shida.
Hawa vichwa vyao huwaza hospital tu...ila m nataman nije pata dokta[emoji5] [emoji5]Nyie mko bize zaidi kuhudumia wagonjwa. Mapenzi mnayapa nafasi ndogo (wasemavyo wadau, sio Mimi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Tantee nami nawapenda sana sis zangu nyieAsante kaka akee tunakupenda