Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ukitongozwa na fundi simu unamkataa. Mbona wanawake hamueleweki nyinyi?Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Asante sanaMmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.
Unaweza kukuta ni retired hooker ila anachagua wanaume kisa kazi zao. Ndio hawa wanaishiaga kuliwa na kutemwa kama big GKabla ya kujaji kazi za wanaume,tuambie wewe unafanya kazi gani inayokuweka mjini?
Me nakula sana,njoo kwangu
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]ningestaajabu endapo ungewataja mameneja wa benki
Ndiovipi unaweza kudate na kada wa CCM almaarufu lumumba buku 7??
Mapenzi lazma wivuYoote sawa ila inaonesha wazi kuwa weye ni mtu mwenye wivu hata kwa kivuli chake. Mche hunolewa kwa kuutwangia sio tupa. Nadhani utanielewa. Siku hizi hakuna one man one vote tena
[emoji16] [emoji16] [emoji16] ni mawazo yako ila mi sipo hukoNimepitia threads zako zote 30.
Kati ya hizo threads 30, ni threads 2 tu ndio hazija wahusu wanaume.
1. Ni barua ya wazi ulio muandikia John Pombe Magufuli.
2. Ni barua iliohusu wanasiasa kuhama vyama.
Kwahiyo, naomba nihitimishe kwamba umetumiwa sana na wanaume wengi tofauti tofauti, pia unaonekana unamajeraha makubwa moyoni mwako kutuhusu sisi wanaume.
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
AsantyM naona yupo sahihi kwa mtazamo wake n pia nadhan katika kufanya uchambuz wa masuala hayo tunaangalia majority and not minority kwa mfano mtu kusema labda wahaya n weus haimanish kwamba kla mhaya n mweus ila inasemekana hvo coz majority wako black tukirud kwa dada yetu mleta uzi kwakwel hao watu tajwa n pasua kichwa japo kuwa so wote
Turud kwangu kiukwel kama dada alivowataja mm pia nshasema hao watu tajwa siez date nao hata kama n tabu lakn siez
Sent using Jamii Forums mobile app