Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Nimepitia threads zako zote 30.
Kati ya hizo threads 30, ni threads 2 tu ndio hazija wahusu wanaume.
1. Ni barua ya wazi ulio muandikia John Pombe Magufuli.
2. Ni barua iliohusu wanasiasa kuhama vyama.
Kwahiyo, naomba nihitimishe kwamba umetumiwa sana na wanaume wengi tofauti tofauti, pia unaonekana unamajeraha makubwa moyoni mwako kutuhusu sisi wanaume.
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya hizo threads 30, ni threads 2 tu ndio hazija wahusu wanaume.
1. Ni barua ya wazi ulio muandikia John Pombe Magufuli.
2. Ni barua iliohusu wanasiasa kuhama vyama.
Kwahiyo, naomba nihitimishe kwamba umetumiwa sana na wanaume wengi tofauti tofauti, pia unaonekana unamajeraha makubwa moyoni mwako kutuhusu sisi wanaume.
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app