Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kazia Dada ake maana akianza kuangalia kazi za watu aweza kuta kila siku kaangukia pasipofaaa.Nakazia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazia Dada ake maana akianza kuangalia kazi za watu aweza kuta kila siku kaangukia pasipofaaa.Nakazia
Wewe jamaa ni lecturer bila shaka.
Na ukimpenda mtu wala hujari kazi ipi anafanya unachoangalia ni mapenzi bwana bado hajampata wa kumpendaKazia Dada ake maana akianza kuangalia kazi za watu aweza kuta kila siku kaangukia pasipofaaa.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] UDOM au SUAWewe jamaa ni lecturer bila shaka.
Umeonaeeee. Siku akipenda hasaa hii kauli lazima aikane. 😂😂😂Na ukimpenda mtu wala hujari kazi ipi anafanya unachoangalia ni mapenzi bwana bado hajampata wa kumpenda
Umeonaeeee. Siku akipenda hasaa hii kauli lazima aikane. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sitaki nikae kuumiza moyo wangu kisa ni kazi yake inamfanya awe hivyoUmeonaeeee. Siku akipenda hasaa hii kauli lazima aikane. [emoji23][emoji23][emoji23]
KabisaaaaaTena atakana mara mia na usikute atakuja kumpata mwanaume hata kazi hana ata uwezo wa kuingiza sh mia hana
Huyu anaonekana wa UDSM kwa sababu kuna baadhi ya michango yake kwenye baadhi ya majukwaa, namuona ni mulemule.
Bora ambaye hana kazi kuliko yule mwenye nazo,anatumia hela zake au kazi aliyo nayo kudate na wanawake..inauma sanaTena atakana mara mia na usikute atakuja kumpata mwanaume hata kazi hana ata uwezo wa kuingiza sh mia hana
Hajar, kama nakuona vile na bwana boda bodaMmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.
Hapa Wanaume wa dar bye bye wazee wa kushindia chipssnack
Maneno muafaka kabisa hayo HajarUtata ni tabia ya mtu bana
Wanawake hawa hawa wa Tz na JF ndio wampende mtu bila kujali kazi ipi anafanya? Hebu acha mzaha weweNa ukimpenda mtu wala hujari kazi ipi anafanya unachoangalia ni mapenzi bwana bado hajampata wa kumpenda