boga la kiangazi
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 504
- 671
ningestaajabu endapo ungewataja mameneja wa benki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh. Hao ni wale vichwa maji kwa mwenye akili timamu hawezi kubadilika Mumy.
Chezea kupenda weye Hajar! Yaani umpende mtu mpaka ukisikia sauti yake tu au kicheko chake tu hata kama ni kwenye simu mwli wote unasisimka halafu uanze kuangalia huyu ni dereva wa bodaboda, huyu wa safari ndefu hyu daktari kwa hiyo simtaki, hahahaaa bado hajapenda kabisa huyoHakika Sesten. Na kila mmoja ana tabia yake ambayo hata awe na kazi gani haiwezi futika.
Nakazia mleta uzi akatafakari zaidi.
Mbona hawa huwa wanawakula sana madem?ningestaajabu endapo ungewataja mameneja wa benki
Pole my love inaonekana humo ushapita na una uzoefu nao1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
hawezi kujali hilo zaadi ya mkwanjaMbona hawa huwa wanawakula sana madem?
Unajua waweza kuta hata Shehe au Padri au mchungaji ni zipu nje vilevile, ni tabia tu ya mtuMmh. Hao ni wale vichwa maji kwa mwenye akili timamu hawezi kubadilika Mumy.
Eti jamaani lolChezea kupenda weye Hajar! Yaani umpende mtu mpaka ukisikia sauti yake tu au kicheko chake tu hata kama ni kwenye simu mwli wote unasisimka halafu uanze kuangalia huyu ni dereva wa bodaboda, huyu wa safari ndefu hyu daktari kwa hiyo simtaki, hahahaaa bado hajapenda kabisa huyo
Sawasawa kabisa mkuuhawezi kujali hilo zaadi ya mkwanja
Tumwache ametimiza wajibu wake kujielezaKabisa herufi kubwa kaisahau. Itakuwa hajawahi penda maana sio bure aisee.
Hakika Ndugu.
Hahahaaa atatakiwa akarisaidie geshi retu'Mapolisi' njooni kuna mtu kawataja hukuu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
😀😀😀vipi unaweza kudate na kada wa CCM almaarufu lumumba buku 7??