Mwanaume ambaye siwezi kuwa na mahusiano naye ni wa aina hii...

Mwanaume ambaye siwezi kuwa na mahusiano naye ni wa aina hii...

Hakika Sesten. Na kila mmoja ana tabia yake ambayo hata awe na kazi gani haiwezi futika.

Nakazia mleta uzi akatafakari zaidi.
Chezea kupenda weye Hajar! Yaani umpende mtu mpaka ukisikia sauti yake tu au kicheko chake tu hata kama ni kwenye simu mwli wote unasisimka halafu uanze kuangalia huyu ni dereva wa bodaboda, huyu wa safari ndefu hyu daktari kwa hiyo simtaki, hahahaaa bado hajapenda kabisa huyo
 
1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke

2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary

3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa

4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi

5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app
Pole my love inaonekana humo ushapita na una uzoefu nao
Njoo kwangu hutajuta my dear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chezea kupenda weye Hajar! Yaani umpende mtu mpaka ukisikia sauti yake tu au kicheko chake tu hata kama ni kwenye simu mwli wote unasisimka halafu uanze kuangalia huyu ni dereva wa bodaboda, huyu wa safari ndefu hyu daktari kwa hiyo simtaki, hahahaaa bado hajapenda kabisa huyo
Eti jamaani lol

Hajawahi kupenda kama usemavyo.
 
Kwa maelezo yako tu tayari nilishajua wewe ni MTU wa aina gani na unakutana na watu was aina gani kila Siku. Nakuhakikishia ya kuwa, huwezi kutoka nje ya hapo kwa sababu ndio watu wa aina yako hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yoote sawa ila inaonesha wazi kuwa weye ni mtu mwenye wivu hata kwa kivuli chake. Mche hunolewa kwa kuutwangia sio tupa. Nadhani utanielewa. Siku hizi hakuna one man one vote tena
 
Back
Top Bottom