Lyagwa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2013
- 1,639
- 903
Chunguza,utakubali na ninachokisema au tembelea miji ambayo inapaki malori ya masafa kama Kahama,halafu angalia madriva wanayoyafanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo wenye tabia hizo ndio, ndivyo walivyo hata kama wangelikuwa na kazi tofauti na hiyo ya udereva, lakini sio madereva wote wako hivyo