Nuran Jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 273
- 234
Kwa niaba ya Madreva ,Tumekusikia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi kweli kweli
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa niaba ya Madreva ,Tumekusikia.
Mmh. Kwa nini?Hakuna mtu msiti uku JF kama wewe.
Mmh. Wapi nimesema kupenda kupita kiasi Mkuu?Kupenda kupita kiasi ni ugonjwa na kujiendekeza.
Ukiona umempenda mtu kupita kiasi mpaka ukionacho machoni mwako na kinachokujia akilini mwako ni mapenzi ujue una kasoro.
Mmh. Kwa nini?
😂😂😂 kweli Dada?Weeeeh wahenga waongo hao.
Zinaushawishi ila sio kwa kiwango kikubwa Dada maana nina mifano hai wa watu katika hizo kazi alizoziandika hapo na wanazifanya miaka nenda rudi ila tabia zao ziko vile vile na wala hazijawahi badilika.Unaamini kuwa kazi zinainfluence kubwa sana kwenye maisha yetu?
Duuh! Haya.Kwa jinsi ninavyokuchukulia.
Mmh. Wapi nimesema kupenda kupita kiasi Mkuu?
Tuseme tu ni hauwajui vizuri.Zinaushawishi ila sio kwa kiwango kikubwa Dada maana nina mifano hai wa watu katika hizo kazi alizoziandika hapo na wanazifanya miaka nenda rudi ila tabia zao ziko vile vile na wala hazijawahi badilika.
Au ndio tuseme wanabadilika kutokana na mazingira kwamba wakiwa kwenye kazi zao tabia zinabadilika?
Walikuwa wanatuchota tu ili tuwakubali tu hata kama hawan mbele wala nyuma. Ila kuchagua muhimu ati!!![emoji23][emoji23][emoji23] kweli Dada?
@hajar asikudanganye, yeye mwenyewe hana hayo mapenzi yasiyo na macho. Yuko na mtu mmoja matata sanaaaa[emoji85] [emoji85] [emoji85]Uliposema mapenzi humea popote ulimaanisha nini ?
Hivi kupenda mtu au kumpenda mtu mpaka mambo mengine ya msingi yakose nafasi na kuonekana mapenzi tu,kupenda huku ni kwa kawaida ?
Kumbe dada. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Walikuwa wanatuchota tu ili tuwakubali tu hata kama hawan mbele wala nyuma. Ila kuchagua muhimu ati!!!
Hahahaaaaa. Sawa Dada ake.@hajar asikudanganye, yeye mwenyewe hana hayo mapenzi yasiyo na macho. Yuko na mtu mmoja matata sanaaaa[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hahaaaa!! Yaani mimi hadi nimpende nishajua kazi anayofanya. Kama sikuijua nikiijua yaani na mapenzi yanaisha ghafla.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Kumbe dada. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lakini Dada amekuja mtu kakutokea ukamkubali na mwisho wa siku anakutajia kwamba anafanya kazi tena zile usizozipenda je utavunja mahusiano au utaendelea?
Jamaaani Dadaaaa. Lol.Hahaaaa!! Yaani mimi hadi nimpende nishajua kazi anayofanya. Kama sikuijua nikiijua yaani na mapenzi yanaisha ghafla.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]