Mwanaume ambaye siwezi kuwa na mahusiano naye ni wa aina hii...

Mwanaume ambaye siwezi kuwa na mahusiano naye ni wa aina hii...

1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke

2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary

3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa

4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi

5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wote wamekugegeda duh,hongera kwa uzoefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe dada. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Lakini Dada amekuja mtu kakutokea ukamkubali na mwisho wa siku anakutajia kwamba anafanya kazi tena zile usizozipenda je utavunja mahusiano au utaendelea?


Watoto wa kike huwa mnapelekwa na hisia sana,uchunguzi lazima na si huwa mnapenda kudanganywa.
 
@hajar asikudanganye, yeye mwenyewe hana hayo mapenzi yasiyo na macho. Yuko na mtu mmoja matata sanaaaa[emoji85] [emoji85] [emoji85]


Ukweli ndio humea popote sio mapenzi. Mwambie awe mkweli wa kauli na matendo.
 
Walikuwa wanatuchota tu ili tuwakubali tu hata kama hawan mbele wala nyuma. Ila kuchagua muhimu ati!!!


Uongo unaruhusiwa lakini ndani ya ndoa. Uongo wa nje ya ndoa ni ubazazi na wewe mtoto wa kike kwanini ukubali kuchotwa ?
 
Mimi ni mpasua mbao. Natumai utanipa usajili wa kudumu.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom