Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wote wamekugegeda duh,hongera kwa uzoefu1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe dada. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lakini Dada amekuja mtu kakutokea ukamkubali na mwisho wa siku anakutajia kwamba anafanya kazi tena zile usizozipenda je utavunja mahusiano au utaendelea?
@hajar asikudanganye, yeye mwenyewe hana hayo mapenzi yasiyo na macho. Yuko na mtu mmoja matata sanaaaa[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Swali zuri sana hiliKumbe dada. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lakini Dada amekuja mtu kakutokea ukamkubali na mwisho wa siku anakutajia kwamba anafanya kazi tena zile usizozipenda je utavunja mahusiano au utaendelea?
Dah wee kiboko aisee😀😀Hahaaaa!! Yaani mimi hadi nimpende nishajua kazi anayofanya. Kama sikuijua nikiijua yaani na mapenzi yanaisha ghafla.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Nadhani msimamo wako uko sahihi HajarHahahaaaaa. Sawa Dada ake.
Nimekuelewa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85]Dah wee kiboko aisee😀😀
Hujamabo kidogo Espy?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85]
Hujambo kidogo Espy?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85]
Walikuwa wanatuchota tu ili tuwakubali tu hata kama hawan mbele wala nyuma. Ila kuchagua muhimu ati!!!
Jobha sebho indi pakunyela pa ndanyela
Jobha sebho indi pakunyela pa ndanyela
Hapana huyu kala maharage ya meru