Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SitapakaSiku ya harusi groom hupakwa black. Nao ni mashoga?
Ndo wale wale mwanaume huwezi kusema mambo ya mwanaume usiemjua kwa kuhisi hisi ni dalili za upungaNeno "rijali" ni overrated concept!! Haswa ukiwakuta hawa "Vibolo Dinda jobless" wanaosubiri ugali wa mama na kudoea doea kwa majirani basi ndio usiseme... mchana kutwa wanaimba rijali, rijali, rijali, rijali, rijali..... akigeuza topic kidogo basi ni kuimba ushoga, ushoga, ushoga, ushoga, ushoga.....usiku na mchana.
Nilichogundua ni kwamba hawa vibolo dinda wako very sensitive na 'masculinity' yao. Oversensitive. (nikitumia neno sahihi)
Na ukiona dume liko oversensitive na urijali wake au urijali wa wanaume wenzake ujue kuna shida mahali. KWANZA, inawezekana alihusishwa kwenye namna fulani ya ushoga akiwa mtoto na hivyo amepata trauma kali inayompa nightmares, au PILI, inawezekana ana kasoro fulani katika uanaume wake na hivyo anatafuta namna ya kufidia insecurities zake za nafsi (mgogoro wa nafsi wa kijinsia).
Mods wame edit headingRijali ni neno la Kiarabu lenye maana mwanaume.
Wale waleMwanaume kuleta mada ya kudiscuss wanaume pia ni umama
😂😂 shosti kimekuuma?Muulize dada yake akupe jibu
Wewe itakuwa ume expire inatakiwa ujiupdate tu mkuuMwanaume uliekamilika huwezi kufanya haya popote nikikuona najua una vinasaba vya 'ushoga'
1. Mwanaume kupaka super black
2. Mwanaume kuchora tattoo
3. Mwanaume kuvaa suruali kama ya dadaako
4. Mwanaume kutoboa sikio
5. Mwanaume kuchekacheka ovyo
6. Mwanaume kutuma meseji umeandika vifupisho visivyoeleweka
Yangu ni hayo Mengine ongezea......
Tell herKukagua kagua wanaume ni Ushoga.
😂😂 naona ipo iliyokugusa zaidiNaona ipo iliyokugusa
Duh! Kweli jauSiku ukikuta mkeo anazibuliwa mtaro utaelewa kuwa rijali hana mavazi wala sura! Utajifunza kuwa usimdharau mtu usiyemjua background yake.
Kuna jamaa nilikutana nae mwaka 2018, ukimuona unasema huyu anastahili kuitwa mwanaume kamili. Anafanya kazi ktik ofisi ya CAG. Akiwa katika harakati za kikazi, Young man 32yrs. Kimsingi ni mtu mwenye kukubalika na mwamke yeyote tu.
Tatizo: ANAFIRIMBWA
Swali kwako: Je kila mpaka super. Black, analamba mdomo, sio rijali?
Mwanaume unakuaje na hivyo vijitabia??Wewe itakuwa ume expire inatakiwa ujiupdate tu mkuu
Mwanaume uliekamilika huwezi kufanya haya popote nikikuona najua una vinasaba vya 'ushoga'
1. Mwanaume kupaka super black
2. Mwanaume kuchora tattoo
3. Mwanaume kuvaa suruali kama ya dadaako
4. Mwanaume kutoboa sikio
5. Mwanaume kuchekacheka ovyo
6. Mwanaume kutuma meseji umeandika vifupisho visivyoeleweka
Yangu ni hayo Mengine ongezea......
Wale waleMwanaume aliye busy kuchambua wanaume wenzake yupo kundi moja pia[emoji38][emoji38]
Vya kuvuta bangi?Mwanaume unakuaje na hivyo vijitabia??
Vya kuvuta bangi?
AMwanaume uliekamilika huwezi kufanya haya popote nikikuona najua una vinasaba vya 'ushoga'
1. Mwanaume kupaka super black
2. Mwanaume kuchora tattoo
3. Mwanaume kuvaa suruali kama ya dadaako
4. Mwanaume kutoboa sikio
5. Mwanaume kuchekacheka ovyo
6. Mwanaume kutuma meseji umeandika vifupisho visivyoeleweka
Yangu ni hayo Mengine ongezea......