Mwanaume anaefanya haya namuona si rijali

Mwanaume anaefanya haya namuona si rijali

Mwanaume kunywa Savanah na popcorn,mwanaume kuvuta menthol,mwanaume kuwa na madeni unatakiwa kudaiwa na benki tu siyo mtu binafsi ni umama.
 
Hapo kwa tatuu uninitaka ubaya come and see my bigfu*king di"*k
 
Mwanaume uliekamilika huwezi kufanya haya popote nikikuona najua una vinasaba vya 'ushoga'

1. Mwanaume kupaka super black

2. Mwanaume kuchora tattoo

3. Mwanaume kuvaa suruali kama ya dadaako

4. Mwanaume kutoboa sikio

5. Mwanaume kuchekacheka ovyo

6. Mwanaume kutuma meseji umeandika vifupisho visivyoeleweka

Yangu ni hayo Mengine ongezea......
Hayo yote uliyoandika ni mbwembwe....kipimo tosha mpe mzigo....akikuchapa sawasawa ukatoka nafsi yako imesuuzika hamna tatizo....Hayo mengine msamehe tu..na mueleweshe
 
Hayo yote uliyoandika ni mbwembwe....kipimo tosha mpe mzigo....akikuchapa sawasawa ukatoka nafsi yako imesuuzika hamna tatizo....Hayo mengine msamehe tu..na mueleweshe
Wewe ni shoga na mwandiko wako unadhihirisha hilo
 
Back
Top Bottom