Mwanaume anaejisifia sana ni mweupe sana kwenye majambozi

Mwanaume anaejisifia sana ni mweupe sana kwenye majambozi

Kumbe sasa hivi kufika kileleni ni hela aisee!!
 
Ishu ya nguvu za kiume (Libido) ni tata kidogo.
Elimu SAHIHI juu ya kujamiana ni changamoto.

Kuna ukweli kiasi chake,
Wataalamu husema; Ukiona mtu anataka uamini yuko hivi, mara nyingi ujue yupo kinyume chache.
 
b01ece21bc127194a03e79eeae340090.jpg
what?
 
Ahsante sana naona siku hizi Nguvu kazi ni Kugegedana!
 
No African Girl Will Choose Six Packs Over Six Car's..... So My Sons Stop The Gym And Work Hard
 
Kwa hiyo Avatar mbona hizo dakika mbili nyingi bibie. Mimi picha tu tayari hoi, wacha nisave nina kazi nayo badae. NB:- "Ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona Ufalme wa Mbinguni". SOMO:- Kadri unavyotafuta pesa ndivyo unavyopishana na Ufalme wa Mbinguni.
Hakyanani umenena mkuu
 
hawa wenye modo watakua wamekutenda mama kwahilo povu kuna kitu wametuleterezea
 
Back
Top Bottom