Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Samahani bwana ndio mana nikaweka kama.Huo wa kwamba mada inanihusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani bwana ndio mana nikaweka kama.Huo wa kwamba mada inanihusu
Marahaba. Umeshindaje?
Mule mule aisee[emoji23] [emoji23]
In young Killer's voice
Marahaba. Umeshindaje?
Hahaha otangu lini kahaba akafikishwa kileleni.......
Mpaka demu anaishangaa mwenyewe "show" mbovu na ya hovyo kabisa aliyopewa. Anaishia kulalamika kwa maumivu....Kuna wale wanaojifanya wanaume kumbe ni wanaume suruale kutwa utakuta wanashinda kwenye kioo kujipodoa. Hawa hupenda kuvaa vimodo usipoangalia vizuri utadhani ni binti hadi kuongea wanabinua midomo na kubana pua, kwa kuunga unga ila ukimkuta kwenye mitandao anavyojisifu utadhani ni kweli kumbe msingi kiuno tuu na ukiingia nae faragha dk tuu kaishiwa nguvu kabisa, tukija kwa wale wanaoshinda gym kutwa nzima kutanua vifua ili wapendwe na kulelewa na mijimama mjini.
Hawa nao ni tatizo utakuta wanajisifu tuu mimi noma napiga mzigo wa maana ila unaweza kutoka nae akawa kama bodgad tuu kwenye majambozi akawa mweupe kiukweli tunapoteza nguvu kazi kwa vijana kupenda utelezi sana mmesahau kutafuta pesa kutwa mnashinda kujisifia na kusema wanawake hawafiki kileleni mapema tafuteni pesa acheni kulia lia pesa zikiwepo kumfikisha mwanamke kileleni ni chap tuu.