Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Wahenga wa miaka ya 40 - 80 watakuelewa, lakini kile kizazi cha "Kila Mtu na maisha yake" ni bure kabisa.Mtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Mimi sijaingia darasaniKweli Kama mie huwa Niko active jf and Twitter. Ila huko Ni Kama Kuna wanawake wanaringishiana Leo ninevaaje. Yaani Kama wanatoa somo na vijembe. Hizi mbili Sina haja ya kuonyesha mgongo wangu wa tembo la tope,baiskeli yangu ama Kama leo Nimekula mchicha na Dona na kunywa uji na mahindi ya kuchemshwa.
Ila mkuu mbona unawachukiaga mno walimu lakini.
Ujue duniani Kuna matabaka. Ukiwa na mabasi alfu kumi nadhani utahitaji watu wakufanyie kazi.
Walimu wametufundisha mpaka tumejua kusoma na kuandika na wewe ukiwemo
Sipo mmWahenga wa miaka ya 40 - 80 watakuelewa, lakini kile kizazi cha "Kila Mtu na maisha yake" ni bure kabisa.
Mi pia nina ukakasi na wewe, kwanini umeiacha Facebook na Badoo?
Binafsi hizo ni platform za kikeMtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Mpaka unajua kuwa mange kimambi Yuko huko,na kuna kujirekodi na kulembua bila shaka na wewe ni mteja wao huko TikTok au shetani aliyezeeka Sasa anajifanya malaika.Mtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Mpyayungu leo umeonyesha ulivyo mtupu huko kichwani na uboga wako leo ni wazi kabisa, unaowaona wanapotea hizo ndio kazi zao full time na wanaingiza pesa za kutosha, jifunze namna ya kutumia hizo social media na kuwa content creator na wewe ufaidike, hata wewe unaonekana unaweza kuwa content creator mzuri sana maana una story nyingi sana, sasa badala ya kutoa burudani tuu humu unaweza ukazigeuza ikawa kipato kwako...video za kula chips,majungu, umbeya na kulamba chips ndio income yenyewe, go educate yourselfMtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Nashangaa mtu anafikiri mitandao ni ya wahuni au wambeaMitandao mingi ya kijamii ina aina ya watu wanaoitumia na kukutana na wenzao huko, ipo ya wasomi, wanasiasa na wasanii. Pia ipo ya wenye elimu ya kawaida. Kila mtu anavutiwa na maudhui yaliyoko kwenye mitandao anayoitumia
we ni ke sio? basi sawa sio kosa lako ungekua me ungeelewekaMtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Kwa hio messi nae akiingia Instagram anaona kina mange na udaku? Hio Ni Instagram yako ndo unaona hayo sababu uko interested nao una wa search na ume wa follow kifupi wewe ndo mmbea napata mashaka na jinsia yakoMtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Jinsia yako plzKweli Kama mie