Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kwani hiyo tik tok ni kitu gani!!Mimi insta nautumia ila sitokaa nitumie tiktok hata siku moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hiyo tik tok ni kitu gani!!Mimi insta nautumia ila sitokaa nitumie tiktok hata siku moja
Let her dead ova'Kwaio'.
One man down,I repeat one man down.Team Alpha do u copy ?
Roger that.Let her dead ova
Koz,kwaio.Ukiona hivyo fikra zako zinaendana na matendo yako koz uwezi kumfikilia mtu kitu ambacho ww hufanyi kwaio wewe umebobea
Don't forget to mwekea gunzi after her death overRoger that.
Huyu nae wale wale,, utajuaje kama hela anazoTafuta elaaa ww
Wee naye umezidiMtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Dunga dunga.Achana na mimi wew
Mtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Muulize upeo wako plsJinsia yako plz
MashakaAchana na mimi wew
Kuna kitu watu hawajui social media huwa zinakuletea vitu kutokana na vile unavopenda. Mfano unapenda umbea unafungua kila saa.Nashangaa mtu anafikiri mitandao ni ya wahuni au wambea
Ni jinsi unavyotaka wewe
Mimi naangalia sana magari mapya, technology zinazotoka kila leo na ubunifu pia kujisomea mengi ya Dunia
Kuna hata kufuatilia wahubiri na hata gardening au buildings na architectural
Mtu kama hajui kuwa yote hayo na chochote anachopendelea anapata kwenye mitandao basi atakuwa hajui na akijifanya anajua
Kuna mengi sana ya kujifunza na kuangalia kwenye insta na tiktok maana wabunifu na hata wafanyabiashara wengi sana wamo
Kuna mapishi na mengi ya kujifunza sio udangaji
Mashaka
Umekula?Ukikosa usingizi angalia pira acha kubishana na sisi
Umekula?
Unataka kula?Sijala