Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
😀😀😀tuambie kwanza wewe unachotumia hapo ndiyo kikao kitaanzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani babu upo sahihi kabisa kabisa kabisa ningekupa like hata milion nane kama inawezekana mwanaume uliotimia huwez kua tiktok au insta wengi wao wana matatizo kiafya kiakili na hata kimwili ukikosa yote hayo ujue anapend umbea yupo kama demu au mshambaMtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Umekula?Bro shida nini mbona unajaza thread kwa mambo yasiyo na maana
Mimi nipo tiktok, mbona sijaona umbeya kule, upo sehemu gani? Kule kuna clip za vichekesho na mziki. Ni kweli unaijua tiktok au umesimuliwa tu?Mtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Kuna kitu mnatakiwa kujifunza.Yaani babu upo sahihi kabisa kabisa kabisa ningekupa like hata milion nane kama inawezekana mwanaume uliotimia huwez kua tiktok au insta wengi wao wana matatizo kiafya kiakili na hata kimwili ukikosa yote hayo ujue anapend umbea yupo kama demu au mshamba
Mtoto mrembo Sana weweShakika
Usikute anataka akule weweSijala unatakaje
Usikute anataka akule wewe
Sana mkuuKuna jamaa flan wa interior design na wale wafuga samaki wapo Insta huko..hahaha moja nime apply pahala fundi kakimbia...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mbele watu wanajenga Nyumba aiseee....
Usikute anataka akule wewe
Saafi sana Mkuu....Sana mkuu
Kuna mambo ya kila aina na mafunzo na hobbies za kila aina ni wewe tu
Miaka ya nyuma yaani zamani sana nilikuwa mdau wa racing cars
Sasa huwa nakumbushia kujiangalia kwenye Arab drifting hapo ndio utaona ukichaa wangu Enzi hizo yaani kukimbia 160mph ni kawaida sana [emoji1] [emoji1787]
Yani wewe Ni obviazi kabisa😁😁 vijana wa ovyo nchini Ni wengiYaani babu upo sahihi kabisa kabisa kabisa ningekupa like hata milion nane kama inawezekana mwanaume uliotimia huwez kua tiktok au insta wengi wao wana matatizo kiafya kiakili na hata kimwili ukikosa yote hayo ujue anapend umbea yupo kama demu au mshamba
Mtoto mrembo Sana wewe
Kweli kabisa yaani unachoweka na kuwaza ndio utaangaliaKuna kitu watu hawajui social media huwa zinakuletea vitu kutokana na vile unavopenda. Mfano unapenda umbea unafungua kila saa.
[emoji38] [emoji23] [emoji38]Saafi sana Mkuu....
Kuna kazi nakueleza mafundi wamezikimbia...hii yote ni kuona vya wenzetu na kujifunza.
Huku Tiktok ndio usiseme kabisa..unafuata watu wako kadhaa then unaangalia pa kuchekea maisha yanaenda.
Kwaio mwamba na ww unaamin mwananume akiwa na akaunt instagram sio mwanaume huyo?! Unajua wabish wangap wa mbele wana akaunt zao uko instagram. Tafuta mtonyoHuyu nae wale wale,, utajuaje kama hela anazo
Hela ninayo ewe kizazi cha kidukuKwaio mwamba na ww unaamin mwananume akiwa na akaunt instagram sio mwanaume huyo?! Unajua wabish wangap wa mbele wana akaunt zao uko instagram. Tafuta mtonyo