Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Huyu c ndie aliyekuw analalamika anabonyezwa makalio na Dem wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna pesaa ww una kila dalili, kumaind mtu kuwa na instagram akaunt si roho za kichaw hizo, bila kufaham ana access mambo gan uko instagramHela ninayo ewe kizazi cha kiduku
Ni yeye mwanangu😀😀😀Huyu c ndie aliyekuw analalamika anabonyezwa makalio na Dem wake
Huwa siwezi kufungua Instagram mbele za watu had niwe chumbani ndio nitapitia vinginevyo mm Ni jf na mm au Sana Twitter Tena uko kucheki clubhouse tuMtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Nilijua hili litatokeaFATA MAISHA YAKO.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Huwa siwezi kufungua Instagram mbele za watu had niwe chumbani ndio nitapitia vinginevyo mm Ni jf na mm au Sana Twitter Tena uko kucheki clubhouse tu
Instagram na tiktok hpn kwa kweli
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kumekuchaaaaaaah!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeniiii.Watakuja kutuambia kuwa wanaume tunao kunywa soda tumeleft kundi sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeniiii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutafika
Tukiwa
Tumechoka
Sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie bhanaaa, khaaahHuyu jamaa anaongoza kusakama wanaume wezake sijui shida nini? Kahama kwalimu now yupo kwa wanaume
Sawa kijana wa kileoHuna pesaa ww una kila dalili, kumaind mtu kuwa na instagram akaunt si roho za kichaw hizo, bila kufaham ana access mambo gan uko instagram