Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenge wempwayungu village kama wewe hupendi usitufanye na wengine tusipende kwa sababu zako binafsi tuacheeeee tumechoka unatusakama sana tuue basi
Jumlisha ba snap chat hapoMtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Kenge we
Kuna uzi wa mwalimu mmoja kashawatapikia vya kutosha naona ameridhikaLeo kawasahau walimu au kawapa likizo ya mwisho wa mwaka
Afu hizo mitandao Ni tofauti kabisaNipo insta..sifuatilii maisha ya mtu personal..sometimes tunahitaj kurefresh na clip za vichelekesho,kufuatilia spiritual contents,update mbalimbali kulingana na interest ya mtu.Usilinganishe insta na vitu vya ajabu😁
Yaani Hili jamaa ni lijinga sijawahi kukutana na ujinga km wake duniani.Mpyayungu leo umeonyesha ulivyo mtupu huko kichwani na uboga wako leo ni wazi kabisa, unaowaona wanapotea hizo ndio kazi zao full time na wanaingiza pesa za kutosha, jifunze namna ya kutumia hizo social media na kuwa content creator na wewe ufaidike, hata wewe unaonekana unaweza kuwa content creator mzuri sana maana una story nyingi sana, sasa badala ya kutoa burudani tuu humu unaweza ukazigeuza ikawa kipato kwako...video za kula chips,majungu, umbeya na kulamba chips ndio income yenyewe, go educate yourself
Mwanaume anaandika 'tuacheeeee'?mpwayungu village kama wewe hupendi usitufanye na wengine tusipende kwa sababu zako binafsi tuacheeeee tumechoka unatusakama sana tuue basi
Muhumu,UkuSikia kila mtandao ni muhumu ondoa mitazamo yako ya huko bariadi ukaleta uku
Wacha weeeYaani Hili jamaa ni lijinga sijawahi kukutana na ujinga km wake duniani.
Wenzie wanaingiza hela yeye amekalia kuponda kila kitu.
Hata hao wanawake wanaingiza hela pia sio wote wanaringishiana maisha.
'Kwaio'.Unatakaje kwaio
The mpwayungu village is back! 😃😃Mtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Kuna jamaa flan wa interior design na wale wafuga samaki wapo Insta huko..hahaha moja nime apply pahala fundi kakimbia...😀😀😀😀😀😀😀mbele watu wanajenga Nyumba aiseee....Nashangaa mtu anafikiri mitandao ni ya wahuni au wambea
Ni jinsi unavyotaka wewe
Mimi naangalia sana magari mapya, technology zinazotoka kila leo na ubunifu pia kujisomea mengi ya Dunia
Kuna hata kufuatilia wahubiri na hata gardening au buildings na architectural
Mtu kama hajui kuwa yote hayo na chochote anachopendelea anapata kwenye mitandao basi atakuwa hajui na akijifanya anajua
Kuna mengi sana ya kujifunza na kuangalia kwenye insta na tiktok maana wabunifu na hata wafanyabiashara wengi sana wamo
Kuna mapishi na mengi ya kujifunza sio udangaji
Kuna mmoja kaandika mie huwa sipendi Sana Instagram natumia tiktokMwanaume anaandika 'tuacheeeee'?
Dar Ni changamoto kwa kweli, wanaume wa mkoani tuchape kazi.
Binafsi nikiona mtu anaejitambulisha ni mwanaume na alihudhuria shule, ila hawezi kuandika lugha adhimu ya Kiswahili napata shaka sana na jinsia yake!Mtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule Instagram na tiktok Hakuna cha mana Zaid ya umbea wa mangekimambi na baba Levo
Unakuta janaume Zima namandevu lina login Instagram account, huko tiktok ndobala majungu na unafiki tu mbaya zaidi nao wanarekodi video wanakula chips Yai huku wakilamba lipsi kama mademu vile
Kizazi kinapotea wanaume tumebaki wachache ndugu zanguni, tuombe Mungu
Unaeza elezea kuhusu FacebookMimi naona facebook ndiko matatizo huko insta ndio ishu za soka