Mwanaume asie na gari wala nyumba

Mwanaume asie na gari wala nyumba

Wengine ni wanamazingira ujue, wanaangalia "carbon footprint" yao.

Unaelewa ni kitu gani hicho?
 
We mleta mada atakayekuoa atapata shida sana
Nina mashaka na halmshauri ya kichwa chako.
 
Hasara ROHO, Pesa MAKARATASI
[emoji848][emoji848] u can hav anything u want but without PEACE OF MIND beta having nothing mkuu
 
JF bhana ndo tatizo hadi la watoto wa kidato cha pili kuwa member humu yani mtoa mada kama sio kidato cha pili basi cha tatu ndo anabalehe balehee
 
mwanaume upo mjini miaka 40 elimu ya chuo kikuu . huna mke/au unae ila ,huna gari huna nyumba unajisikiaje?
Hivi ungeamua kunyamaza kimya bila kuuliza hili swali kwani ungepungukiwa na nini? Kwanini unapenda kuharibia watu siku zao? Unamaanisha ni bora wangekula ada zao maana hazijawasaidia?
 
hahaha, namshukuru Mungu hivyo vyote ninavyo, lakini sio kwa uwezo wangu, ni kwa neema ya Mungu tu. ndugu yangu, usimdharau mtu hapa duniani, kuna watu wana majumba hata kumi na magari ya kutosha na ya garama, lakini hawawezi kuyatumia...kuna jamaa namfahamu ni tajiri sana, alikuwa na kuburi kama wewe, alipata ajali ni mtu wa kulala tu. nyumba kauza karibia anamaliza zote ili akatibiwe mara india, mara ulaya na watoto amezaa wengi wanasubiria afe lini waanze kugombania. unaweza kuwa na gari usiweze hata kushika usukani, unaweza kuwa na nyumba usiweze hata kulala ndani yake kwani utakuwa unalala hospitalini muda wote tena peke yako ICU...wakati asiye na kitu analala na mke wake home kwenye nyumba ya kupanga ana furaha zote pamoja na kwamba anapanda daladala. hivyo don't define life kwenye vitu kwasababu kuna watu wana vitu lakini hawana furaha ya maisha wengine hadi wanajiua....wakati mamangu kule kijijini ukimwambia kuna tajiri mmoja mkubwa sana amejiua anakushangaaa kwamba alikuwa na shida gani kwani kama nyumba anzo, kama hotel anazo, kama magari anayo ana kila kitu lakini ndio hivyo hana furaha wala amani. definition ya life sio ya kukurupuka. tema mate chini. na si ajabu ndio mara yako ya kwanza leo kununua gari, wakati wenzio hayo magari tumeendesha miaka mingi sana na hatudharau wasio nacho.
Safi sana huyo jamaaa limbukeni tu
 
Labda nyumba, gari kama ni lazima sana kama vile Dar kuwa na gari ni vizuri zaidi kwa kweli.
 
mwanaume upo mjini miaka 40 elimu ya chuo kikuu . huna mke/au unae ila ,huna gari huna nyumba unajisikiaje?
Ooh ndiyo maana mnang'ang'ania mikopo ya varsity mkidaiwa inakuwa ishu,jueni elimu nchi hii siyo kutajirika ni kutumika tu.
 
mwanaume upo mjini miaka 40 elimu ya chuo kikuu . huna mke/au unae ila ,huna gari huna nyumba unajisikiaje?
Kweli akili ni nywele yaani baada ya kufikiria Furaha yako na Pesa zako unawaza maisha ya watu, Akili zako zipo kwenye gari na nyumba shauri yako utakuja liwa kirahisi kwa kutumia gari la kuazima chezea mjini
 
Back
Top Bottom