Mwanaume, fanya hivi kuepuka kuchunwa

Mwanaume, fanya hivi kuepuka kuchunwa

Mende mdudu

Senior Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
111
Reaction score
223
Kumekua na janga kubwa la wanaume si vijana kwa wazee kuchunwa, kutumia pesa nyingi kwa mwanamke bila manufaa yoyote na lengo kuu la mwanamke huyo ni kutumia pesa au mali zako na mwisho wa lengo lake anakuacha na msongo wa mawazo na pressure.

Kuepuka kutumika na mwanamke fanya yafuatayo
* Weka kiwango cha matumizi kwake kutokana na mfuko wako na ukomo wa matumizi. Kama una uchumi wa chin ya dola moja weka mwisho elfu 50 akitaka vocha mpe akitak vitu vidogo vidogo ila kama imefika iyo na ata busu lake haulijui lina ladha gan shtuka.

* Epuka kuwa mtu wa kuomba msamaha au kuwa mpole kupitiliza kwake (nice guy) muda mwingne kuwa alfa kwa mfano baada ya kusema naomba tukutane jion kula dinner ondoa neno naomba tumia nahitaji tutoke wikiend.

*Usijionyeshe kama unacho sana kuwa real tu kama kakuelewa utampata tu kaja kwako usione aibu kumlisha tembele na dagaa au na kachumbari

* Epuka kuwa chaser utakua kero kwake na usimtreat mwanamke kama queen atakutreat kama servant, sio muda wote una mtxt umekula ndo hapo utapigwa kizinga. Angekua na njaa angekutafuta.

*Jifunze pia kusema hapana. Usiwe mr yes
Chochote atacho taka wew sawa, akiomba chochote sawa, ata kama unacho mda mwingne sema hapana au sina

To be continue...
 
Siku hizi hata kwenye magroup ya WhatsApp.. Mtu anakuita inbox.. Anakuchatisha msg mbili tatu za mapenzi ukiingia tu ushaitwa My Love Kesho mume kinachofuata anaomba muamala.. Wanakera sana..
 
Unachunwa bila kuchinjwa ni ukatili kabisa.

Naamin kwa kila mtu yupo mtu anaempendq sana tena bure bure kabisa tu ila tu jeuri zetu za kutaka vizuri ndio zinatufanya tukutane na hawa Wanyang'anyi.

Mshikirie huyo alietayar kukupa bure hata kama usipomtafuta week yeye ukiitaka anaileta tu.

#Uchi ni ule ule usiingie gharama kwa vitu vya bure.
 
Unachunwa bila kuchinjwa ni ukatili kabisa.

Naamin kwa kila mtu yupo mtu anaempendq sana tena bure bure kabisa tu ila tu jeuri zetu za kutaka vizuri ndio zinatufanya tukutane na hawa Wanyang'anyi.

Mshikirie huyo alietayar kukupa bure hata kama usipomtafuta week yeye ukiitaka anaileta tu.

#Uchi ni ule ule usiingie gharama kwa vitu vya bure.
Kweli kabisaaaa
 
Kumekua na janga kubwa la wanaume si vijana kwa wazee kuchunwa, kutumia pesa nyingi kwa mwanamke bila manufaa yoyote na lengo kuu la mwanamke huyo ni kutumia pesa au mali zako na mwisho wa lengo lake anakuacha na msongo wa mawazo na pressure.

Kuepuka kutumika na mwanamke fanya yafuatayo
* Weka kiwango cha matumizi kwake kutokana na mfuko wako na ukomo wa matumizi. Kama una uchumi wa chin ya dola moja weka mwisho elfu 50 akitaka vocha mpe akitak vitu vidogo vidogo ila kama imefika iyo na ata busu lake haulijui lina ladha gan shtuka.

* Epuka kuwa mtu wa kuomba msamaha au kuwa mpole kupitiliza kwake (nice gay) muda mwingne kuwa alfa kwa mfano baada ya kusema naomba tukutane jion kula dinner ondoa neno naomba tumia nahitaji tutoke wikiend.

*Usijionyeshe kama unacho sana kuwa real tu kama kakuelewa utampata tu kaja kwako usione aibu kumlisha tembele na dagaa au na kachumbari

* Epuka kuwa chaser utakua kero kwake na usimtreat mwanamke kama queen atakutreat kama servant, sio muda wote una mtxt umekula ndo hapo utapigwa kizinga. Angekua na njaa angekutafuta.

*Jifunze pia kusema hapana. Usiwe mr yes
Chochote atacho taka wew sawa, akiomba chochote sawa, ata kama unacho mda mwingne sema hapana au sina

To be continue...
Edit uzi kaka

(Nice Gay) what the https://jamii.app/JFUserGuide bro?
 
Tukumbushane

Mithali 7:1-27
1 Mwanangu, yashike maneno yangu, Na kuziweka amri zangu akiba kwako.

2 Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako.

3 Zifunge katika vidole vyako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.

4 Mwambie hekima, Wewe ndiwe umbu langu; Mwite ufahamu jamaa yako mwanamke.

5 Wapate kukulinda na malaya, Na mgeni akubembelezaye kwa maneno yake.

6 Maana katika dirisha la nyumba yangu Nalichungulia katika shubaka yake;

7 Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,

8 Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,

9 Wakati wa magharibi, wakati wa jioni, Usiku wa manane, gizani.

10 Na tazama, mwanamke akamkuta, Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;

11 Ana kelele, na ukaidi; Miguu yake haikai nyumbani mwake.

12 Mara yu katika njia kuu, mara viwanjani, Naye huotea kwenye pembe za kila njia.

13 Basi akamshika, akambusu, Akamwambia kwa uso usio na haya,

14 Kwangu ziko sadaka za amani; Leo hivi nimeziondoa nadhiri zangu;

15 Ndiyo maana nikatoka nikulaki, Nikutafute uso wako kwa bidii, nami nimekuona.

16 Nimetandika kitanda changu, magodoro mazuri, Kwa matandiko ya Kimisri yenye mistari.

17 Nimetia kitanda changu manukato, Manemane na udi na mdalasini.

18 Haya, na tushibe upendo hata asubuhi, Tujifurahishe nafsi zetu kwa mahaba.

19 Maana mume wangu hayumo nyumbani, Amekwenda safari ya mbali;

20 Amechukua mfuko wa fedha mkononi; Atarudi wakati wa mwezi mpevu.

21 Kwa maneno yake mengi na ulaini akamshawishi, Kwa ubembelezi wa midomo yake akamshinda.

22 Huyo akafuatana naye mara hiyo, Kama vile ng'ombe aendavyo machinjoni; Au mpumbavu kuadhibiwa katika pingu;

23 Hata mshale umchome maini; Kama ndege aendaye haraka mtegoni; Wala hajui ya kuwa ni hasara ya nafsi yake.

24 Basi, wanangu, nisikilizeni sasa, Mkayaangalie maneno ya kinywa changu.

25 Moyo wako usizielekee njia zake, Wala usipotee katika mapito yake.

26 Maana amewaangusha wengi waliojeruhi, Naam, jumla ya waliouawa naye ni jeshi kubwa.

27 Nyumba yake ni n
jia ya kwenda kuzimu, Hushuka mpaka vyumba vya mauti.
 
Back
Top Bottom