Mwanaume, fanya hivi kuepuka kuchunwa

Epuka kuwa mtu wa kuomba msamaha au kuwa mpole kupitiliza kwake (nice gay) muda mwingne kuwa alfa kwa mfano baada ya kusema naomba tukutane jion kula dinner ondoa neno naomba tumia nahitaji tutoke
Nice guy na sio nice gay.

Gay ni mwanaume msenge/anaingiliwa kinyume na maumbile.
 
Eeeh yaani kumtishia kujiuwa anatuma hela jamani kwani wenzetu mpo dunia gani nyie..?
Ila wazungu wana pepo yao 🤣🤣🤣
 
Wanawake wana akili kutuzidi! Wanajua ugonjwa wetu ni ngono na hapo ndipo wanapotukamatia! Mwanamke anautoaje mwili wake hivi hivi bila pesa?
 
Wanawake wana akili kutuzidi! Wanajua ugonjwa wetu ni ngono na hapo ndipo wanapotukamatia! Mwanamke anautoaje mwili wake hivi hivi bila pesa?
Sijui muulize mwenyewe hapo anakuvuliaje bila pesa
 
Watanzania madem wanaamin kupewe hela ndio kupendwa
Umetisha, Broo mwanamke wa Kitanzania ukimpa pesa ndo anaona unampenda pia wanaamini ktk Kuhudumiwa.
Ukimtongoza tu utasikia "utaweza kunihudumia"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…