Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Nice guy na sio nice gay.Epuka kuwa mtu wa kuomba msamaha au kuwa mpole kupitiliza kwake (nice gay) muda mwingne kuwa alfa kwa mfano baada ya kusema naomba tukutane jion kula dinner ondoa neno naomba tumia nahitaji tutoke
Eeeh yaani kumtishia kujiuwa anatuma hela jamani kwani wenzetu mpo dunia gani nyie..?Mimi nalibibi flani lizungu ni pensioner. Yani nampigaga mizinga balaa. Kuna wakati anakataa kutoa hela namtishia nitajiua anasema nonono mara kitu kinatulia kimiani kwenye account.
Sisi huku tunahongwa nyie midume thed weld dwellers endeleeni kuhonga tu na hayo madafu yenu.
Nyau de adriz
Safi kabisa.Kweli kabisaaaa
Thanks bossSafi uzi umesimama
Wanaume masikini utawajua tu!! Pesa yenyewe huna nani akuchune wewe? Labda uchunwe ngozi 🤣
Maghayo The Stress ChallengerrMimi nalibibi flani lizungu ni pensioner. Yani nampigaga mizinga balaa. Kuna wakati anakataa kutoa hela namtishia nitajiua anasema nonono mara kitu kinatulia kimiani kwenye account.
Sisi huku tunahongwa nyie midume thed weld dwellers endeleeni kuhonga tu na hayo madafu yenu.
Nyau de adriz
Tulia weweeeNice guy na sio nice gay.
Gay ni mwanaume msenge/anaingiliwa kinyume na maumbile.
Tulia weweee 😆😅👆🏿🤣
Kuna vibe fulani hivi unapata😀Amin na ndo ulijali🤣
Sijui muulize mwenyewe hapo anakuvuliaje bila pesaWanawake wana akili kutuzidi! Wanajua ugonjwa wetu ni ngono na hapo ndipo wanapotukamatia! Mwanamke anautoaje mwili wake hivi hivi bila pesa?
Umetisha, Broo mwanamke wa Kitanzania ukimpa pesa ndo anaona unampenda pia wanaamini ktk Kuhudumiwa.Watanzania madem wanaamin kupewe hela ndio kupendwa
Dah... Yaleo Kali, 😅😅😅Wengine kuchunwa ni ibada
Vibe la kuhonga...🤣 Labda kama unasusiwa 3×3 dozi isiyo na kikomo.Kuna vibe fulani hivi unapata😀
Wewe tu na libido lako. Kuna mademu wezi jamani hasa wakikuona uko njema na huna mkono wa birikaVibe la kuhonga...🤣 Labda kama unasusiwa 3×3 dozi isiyo na kikomo.
Mbususu mnatoa lakini?usituharibie ugali wewe
Wao wanawaita maGentle, ukiitwa hivyo kimbia.Wewe tu na libido lako. Kuna mademu wezi jamani hasa wakikuona uko njema na huna mkono wa birika